Maono ya Karatasi nyeupe ya siri itakayofunguliwa 2025

Lazima utazame alcohol content kabla ya kutumia kilevi. Pombe nyingine ni Kali sana.
 
Naunga Mkono hoja, hekima na busara vitumike kuinusuru nchi yetu
 
nasubiri mkuu
 
Kachero mbombezi mwenye karatasi nyeupe kamfuata hasi wake wakagombanie huko huko; hatuna haja ya kujua mshindi wa ugomvi huo.
 
Hakuna uchaguzi umekuwaga mwepezi TZ.
Uzuri wa 2015 mgombea alijulikana tabia yake toka akiwa waziri. 2025, Mmmmm, wengi hawamjui kama huyu ni mwanasiasa mkongwe japo wanajua kuwa alikuwa kwenye siasa muda mrefu.
Kifupi zungumzieni 2030, kwani 2025 mchezo umeshakwisha.
 
Wao wanasema eti 2025 bado mbali sana wakati wewe unaona tunapeta hadi 2030 sio!!?
 
Wewe damu ya Ben inakulilia toka ardhini.Wewe ndiye uliyemuua ulaniwe wewe na kizazi chako chote
 
Kwenye ulimwengu wa roho, haonekani kwenye kiti Cha ukuu, amekaa pembeni, la da kivuli chake ndo unachokiona wewe.
 
Bas unajikuta una aaakiili mjinga wewe.Kwann mnapenda kuwadharau watu wasiokuwa interested na upumbavu wenu wa ndoto za alinachA nyie wehu??
Mtu wa Mungu, huyo bibi mnayemtegemea hayupo kwenye kiti Tena! maneno haya ni kweli na thabiti.
 
Wewe kwa akili yako kabisa unadhani kijani watajinyonga? Hilo halipo. Linapokuja suala la dola, kijani wote huwa kitu kimoja kuhakikisha wanatwaa na kumiliki dola hayo mengine wanayajenga wakiwa na dola.
Dogo, anachokisema huyo jamaa ni kweli, ingia kwenye ulimwengu wa roho, mbona kila kitu Kiko wazi? Mimi nimeona huyo bibi katolewa kwenye kiti, hatakuwa rais Tena!
 
Waambie TEC muda hautakuwa wao tena kusoma waraka mweupe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…