Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, baada ya kufungwa hilo moja atafunguka ili kutaka kusawazisha na kupigwa la pili. Hii mechi itaisha 2-0!Haya ni maono, kwa watu wa michezo ya kubahatisha betting mnaweza kutumia huu mkeka. Siku ya jumamosi Yanga atacheza na Al Hilal ya Sudan. Matokeo yatakuwa Yanga 0 - 1 Al Hilal.
Kwa upande wa Simba Sc matokeo hayatakuwa mbali sana na atakayopata Al Hilal, naye Simba atashinda 1 bila ugenini.
Asanteni.
2-1 kila upande kwa mtazamo wanguHaya ni maono, kwa watu wa michezo ya kubahatisha betting mnaweza kutumia huu mkeka. Siku ya jumamosi Yanga atacheza na Al Hilal ya Sudan. Matokeo yatakuwa Yanga 0 - 1 Al Hilal.
Kwa upande wa Simba Sc matokeo hayatakuwa mbali sana na atakayopata Al Hilal, naye Simba atashinda 1 bila ugenini.
Asanteni.
Labda mechi zote za Yanga wachezee Kwa Mkapa na refa awe Arajiga na lines men wawe Sasii na Kayoko ndio Yanga watafika robo fainali.Yanga mpaka watacheza Robo fainal ya Africa msimu huu 22-23 kama atapoteza mechi haitazidi mmoja.
Yanga ata anza kukutana na mechi halisi nusufainal ya Caf champion league.
Kwa upande wa Simba, ata kama mpira una dunda siwaoni wakifanya lolote na hatua waliyofikia inaweza kuwa mwisho wa wao kushiriki Caf champion league.
Ni swala la muda kilakitu kitakua wazi, mpira ni uwekezaji sio historia Wala propaganda.
Pole sana, jaribu kutafuta mtaalam wa tiba za msongo wa mawazo anaweza kukusaidia tatizo lakoHaya ni maono, kwa watu wa michezo ya kubahatisha betting mnaweza kutumia huu mkeka. Siku ya jumamosi Yanga atacheza na Al Hilal ya Sudan. Matokeo yatakuwa Yanga 0 - 1 Al Hilal.
Kwa upande wa Simba Sc matokeo hayatakuwa mbali sana na atakayopata Al Hilal, naye Simba atashinda 1 bila ugenini.
Asanteni.
wakati unampa uwe unajua kuwa hakuna mechi hata moja ya champion league utopolo amewahi kushinda hapa Dar recentlyHii game mnavyoitabiri kirahisi hivi utasema ni mchezo wa rede...!! Wenye kampuni za betting wenyewe wanaiogopa hiyo game...
Na kama itatokea kampuni yoyote ikiiweka hii game... Mpe YANGA bila kusita kwa kiasi chochote kile... YANGA anashinda hiyo game...
Kwani zahlan walichezea wapi na ni michuano ipi labda utujuze ndugu?wakati unampa uwe unajua kuwa hakuna mechi hata moja ya champion league utopolo amewahi kushinda hapa Dar recently
Nakubaliana na ww,Anayekubushia apigwe risasi hadharaniYanga mpaka watacheza Robo fainal ya Africa msimu huu 22-23 kama atapoteza mechi haitazidi mmoja.
Yanga ata anza kukutana na mechi halisi nusufainal ya Caf champion league.
Kwa upande wa Simba, ata kama mpira una dunda siwaoni wakifanya lolote na hatua waliyofikia inaweza kuwa mwisho wa wao kushiriki Caf champion league.
Ni swala la muda kilakitu kitakua wazi, mpira ni uwekezaji sio historia Wala propaganda.
Zalan ilikua ni mapinduzi?wakati unampa uwe unajua kuwa hakuna mechi hata moja ya champion league utopolo amewahi kushinda hapa Dar recently
Ni 3 kwa 2Young African Vs Al hilal Omdurman
8.10.2022
Zote zinatawaliwa na namba tasa hiyo siku...
Hivyo ni game ngumu kwa mchezo wa kawaida usiokuwa na nguvu yoyote ya ziada (ni sare)...
Lakini kwa nguvu za ziada (ambazo kimsingi lazima zitumike) YANGA anashinda hiyo game...
Mnadhani wachezaji wanapita huku hadi muwavuruge kisaikolojia.Haya ni maono, kwa watu wa michezo ya kubahatisha betting mnaweza kutumia huu mkeka. Siku ya jumamosi Yanga atacheza na Al Hilal ya Sudan. Matokeo yatakuwa Yanga 0 - 1 Al Hilal.
Kwa upande wa Simba Sc matokeo hayatakuwa mbali sana na atakayopata Al Hilal, naye Simba atashinda 1 bila ugenini.
Asanteni.
Sio kweli ndoto yako ni ya chuki,kesho tunatoka na mipira yetu miwili uwanjani 🏃🏃Haya ni maono, kwa watu wa michezo ya kubahatisha betting mnaweza kutumia huu mkeka. Siku ya jumamosi Yanga atacheza na Al Hilal ya Sudan. Matokeo yatakuwa Yanga 0 - 1 Al Hilal.
Kwa upande wa Simba Sc matokeo hayatakuwa mbali sana na atakayopata Al Hilal, naye Simba atashinda 1 bila ugenini.
Asanteni.