Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoleeeeYanga mpaka watacheza Robo fainal ya Africa msimu huu 22-23 kama atapoteza mechi haitazidi mmoja.
Yanga ata anza kukutana na mechi halisi nusufainal ya Caf champion league.
Kwa upande wa Simba, ata kama mpira una dunda siwaoni wakifanya lolote na hatua waliyofikia inaweza kuwa mwisho wa wao kushiriki Caf champion league.
Ni swala la muda kilakitu kitakua wazi, mpira ni uwekezaji sio historia Wala propaganda.
DaahHii game mnavyoitabiri kirahisi hivi utasema ni mchezo wa rede...!! Wenye kampuni za betting wenyewe wanaiogopa hiyo game...
Na kama itatokea kampuni yoyote ikiiweka hii game... Mpe YANGA bila kusita kwa kiasi chochote kile... YANGA anashinda hiyo game...
Huyo alitabiri mechi ya kwanza Dar es Salaam. Utabiri wake umeangukia mechi ya pili.Umetisha mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
ewaaaa hili nalo kalitizame mleta madaOyaaaaa boss tuchekie chama tawala kinang’oka lini
Huyu amekosea, hapa alitabiri mechi ya mwanzonimleta mada mjukuu wa shehe yahaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utawaona basiii!Haya turudi Sasa kwenye huu Uzi kuwasaka wale wote waliobisha kuusu huu utabiri.
Halafu nimegundua kweli kwenye watanzania watano wawili Wana changamoto ya afya ya akili, dada au kaka kajipime una ukichaaa mkubwa .Yanga mpaka watacheza Robo fainal ya Africa msimu huu 22-23 kama atapoteza mechi haitazidi mmoja.
Yanga ata anza kukutana na mechi halisi nusufainal ya Caf champion league.
Kwa upande wa Simba, ata kama mpira una dunda siwaoni wakifanya lolote na hatua waliyofikia inaweza kuwa mwisho wa wao kushiriki Caf champion league.
Ni swala la muda kilakitu kitakua wazi, mpira ni uwekezaji sio historia Wala propaganda.