Wacheza bet,waweke mzigo kwa 6-1 watakuja nishukuru 🤸🤸Hii game mnavyoitabiri kirahisi hivi utasema ni mchezo wa rede...!! Wenye kampuni za betting wenyewe wanaiogopa hiyo game...
Na kama itatokea kampuni yoyote ikiiweka hii game... Mpe YANGA bila kusita kwa kiasi chochote kile... YANGA anashinda hiyo game...
[emoji38][emoji38][emoji38]Haya ni maono, kwa watu wa michezo ya kubahatisha betting mnaweza kutumia huu mkeka. Siku ya jumamosi Yanga atacheza na Al Hilal ya Sudan. Matokeo yatakuwa Yanga 0 - 1 Al Hilal.
Kwa upande wa Simba Sc matokeo hayatakuwa mbali sana na atakayopata Al Hilal, naye Simba atashinda 1 bila ugenini.
Asanteni.
Mimi Yanga ila nimeota Diara katoka langoni kwenda kulalamikia refa. jamaa akapiga free kick ikawa goli.Haya ni maono, kwa watu wa michezo ya kubahatisha betting mnaweza kutumia huu mkeka. Siku ya jumamosi Yanga atacheza na Al Hilal ya Sudan. Matokeo yatakuwa Yanga 0 - 1 Al Hilal.
Kwa upande wa Simba Sc matokeo hayatakuwa mbali sana na atakayopata Al Hilal, naye Simba atashinda 1 bila ugenini.
Asanteni.
@MTAZAMO sahihiYanga anapigwa 2-1 na Simba anashinda 1-0
Haya tupe unajisikiaje huko uliko kutaja baba wa wenzio?ambaye hataki akabishane na baba yake
Naamini maono yako Shekhe, (JEZI@ JEZI)@MTAZAMO sahihi
Utabiri kwa wananchi imedinda,jamia kwa mnyama sasa🤸🤸@MTAZAMO sahihi
Asa yanga imewekeza nini?Yanga mpaka watacheza Robo fainal ya Africa msimu huu 22-23 kama atapoteza mechi haitazidi mmoja.
Yanga ata anza kukutana na mechi halisi nusufainal ya Caf champion league.
Kwa upande wa Simba, ata kama mpira una dunda siwaoni wakifanya lolote na hatua waliyofikia inaweza kuwa mwisho wa wao kushiriki Caf champion league.
Ni swala la muda kilakitu kitakua wazi, mpira ni uwekezaji sio historia Wala propaganda.
Hakunaga tony shoga ila wewe you can bePunguzeni mihemko.
Al hilal hana timu ya kuchukua point 3 mbele ya Yanga hii.
Al hilal atapigwa kama ngoma[emoji1623][emoji1623]
Ndiyo maana Luc Eymael anaenda kukomba M 345 kwa kusema ukweli juu ya hawa viumbeHivi kumbe mshindi anachukua points 3?nilidhani mtoano
Jifunze kuheshimu maoni ya mtu na hata hivyo huu ulikua utabiri wangu sasa maswala ya kuitana shoga yanatoka wapi?Hakunaga tony shoga ila wewe you can be
Maono ya shetani.Haya ni maono, kwa watu wa michezo ya kubahatisha betting mnaweza kutumia huu mkeka. Siku ya jumamosi Yanga atacheza na Al Hilal ya Sudan. Matokeo yatakuwa Yanga 0 - 1 Al Hilal.
Kwa upande wa Simba Sc matokeo hayatakuwa mbali sana na atakayopata Al Hilal, naye Simba atashinda 1 bila ugenini.
Asanteni.
Haya ni maono, kwa watu wa michezo ya kubahatisha betting mnaweza kutumia huu mkeka. Siku ya jumamosi Yanga atacheza na Al Hilal ya Sudan. Matokeo yatakuwa Yanga 0 - 1 Al Hilal.
Kwa upande wa Simba Sc matokeo hayatakuwa mbali sana na atakayopata Al Hilal, naye Simba atashinda 1 bila ugenini.
Asanteni.