Maono: Yanga atafungwa 1-0 na Al Hilal

Poleeee
 
Daah
 
Haya turudi Sasa kwenye huu Uzi kuwasaka wale wote waliobisha kuusu huu utabiri.
 
Kwani si sas si alidraw nyumbani sas wee ukitoa utabiri batili
 
Haya turudi Sasa kwenye huu Uzi kuwasaka wale wote waliobisha kuusu huu utabiri.
Utawaona basiii!
Nakumbuka hata msemaji wa Simba Ahmed, wakati anampongeza msemaji wa Yanga kwa kuteuliwa nafasi lle, alimwambia atashuhudia Yanga yake mchezo mmoja tu wa CL pale kwa Mkapa!
 
Halafu nimegundua kweli kwenye watanzania watano wawili Wana changamoto ya afya ya akili, dada au kaka kajipime una ukichaaa mkubwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…