A' level jamaa wa PGM, walipika wali kwa kutumia mionzi ya jua, nashangaa Prof. anajigamba kwa kufanya jambo la kiwango cha A' level!!! Hayo mavioo sio ma-convex kweli? Wakati nipo primary school tulikuwa tunachoma karatasi kutumia mwanga wa jua kupitia magnifying glass!!Aisee. Nilistaajabu kuona Profesa katengeneza jiko la kutumia mwanga wa jua kupikia supu. Hivi ile dawa Yao ya kufukiza bado wanayo?
**Halafu mbona Kama hayo maonyesho wanafanya kwa kujificha? Promo hamna kabisa
Sanamu pekee ilivombuliwa na ina mantiki ni TINGA TINGA. Yule mzee alikuwa geneus aisee.Hiyo sanamu ilikuwa inaeleza jambo katika historia, mlitaka mtu wa history afanye nini? Halafu mlipata ufafanuzi kwa nini hiyo sanamu?
Kuhusu kuamia ndege, kuna kifaa kilishatengenezwa siku nyingi, kinatoa sauti ya mwewe au ya ndege wanaokula ndege wenzao. Ndege wala mazao wakisikia hiyo sauti wanakimbia.
Humu watu wengi hawapo informed. Halafu hawawezi kuchambua na kuelewa mantiki ya kitu.
Innovation ipo katika kila eneo, sio sayansi tu.
Sanamu pekee ilivombuliwa na ina mantiki ni TINGA TINGA. Yule mzee alikuwa geneus aisee.
Mwenge wanajua kuchonga sanamu kuliko UDSM.
Kwa nini katika udogo wao wameshindwa kununua kubota, pump za kumwagilia mipira ya umwagiliaji nk.Kumbuka, hivyo vishamba vidogo katika mkusanyiko ni vikubwa!
Hivyo hivyo na uwezo wao wakiwa katika kundi kubwa linalohudumiwa kwa pamoja.
Unakosea sana kuniuliza mimi swali hili.Kwa nini katika udogo wao wameshindwa kununua kubota, pump za kumwagilia mipira ya umwagiliaji nk.
Naona unaendelea kunichokonoa na kunichokoza tu hapa kwa kunieleza mambo kama hayo yanayoumiza roho yangu kila mara.Ila vyuo vikuu Wana magari ya kifarahi sana. Ukifika parking unakutana na SU v8 za kumwaga
Ha ha ha pesa ya utafiti inaishia kununua magari ya kifahariIla vyuo vikuu Wana magari ya kifarahi sana. Ukifika parking unakutana na SU v8 za kumwaga
Assembly ya mabat chakavuTanzania tunajua kufanya assembly tu sio innovation
Mwafrica hata usomeee mwezini utabaki mwafrica tu.Kwani hapo UDSM hamna waliosoma nje? Wamefanya nini kama sio kutengeneza hayo masanamu?Hahaa hivyo vitu wanavyo show hapo mbona vijana wa VETA wanatengeneza?
Ukiwa na pesa ya kueleweka peleka watoto wako wakasome hata China huko au India, Bongo hapa ni kupoteza muda sana
Aisee. Nilistaajabu kuona Profesa katengeneza jiko la kutumia mwanga wa jua kupikia supu. Hivi ile dawa Yao ya kufukiza bado wanayo?
**Halafu mbona Kama hayo maonyesho wanafanya kwa kujificha? Promo hamna kabisa
Vyoo vyao tu vinawasiliti full harufuUkitaka kujua kwamba Vyuo vyetu hakuna kitu Kwenye nyanja ya Kiutafi fanya tu uchukue Uvumbuzi wanaodai wamefanya hapo zen beba hivo hivo kama ilivyo na upeleke Ukaoneshe Inchi yoyote ile huko Ulaya , Ni kituko . Sijui tatizo ni serikali au Tasisi husika za elimu ndio Tatizo, anyway endeleeni kumeza Utilio wa tangia Mwaka 1770