Maonyesho ya Ubunifu UDSM yanafikirisha

Maonyesho ya Ubunifu UDSM yanafikirisha

Wiki hi inayoishia nikiwa naelekea Changanyikeni nilibahatika kutembelea yanayoitwa Maonyesho ya Ubunifu pale Mlimani. Aisee, kwa kweli inabidi vyuo hivi kujipanga upya. Maana dunia inaenda Mbele wao wapo Zama za mawe. Sanamu la mabati mbona Fundi tu kitaa anatengeneza? Utaalamu wenu mpaka PhD ndio umefika mwisho?









View attachment 1801671
Nadhani hata "ubunifu" wako unamatatizo mkuu, kwa maana hujaeleza chochote kikaeleweka.

Hizo picha naona hapo uliyoiita "Bati", halafu ukaishia hapo!

Yaani uliona bati pekee katika picha hiyo?

Mimi sikuwepo, na sijui nini kilikuwa kinaendelea hapo, lakini picha tu, kidogo inanionyesha zaidi ya hayo uloyoeleza wewe.

Siwatetei hao watu, kwa sababu kwa umri wao walioufikisha sasa hivi, ndio tungepashwa kuwategemea wao kutusaidia na matatizo yetu mengi ya maendeleo, karibu kwa kila nyanja; lakini tunapowalaumu, inafaa pia tuwe na uwezo wa kueleza ni wapi hasa wametuangusha.
 
Tanzania nikiambiwa chuo bora nitakitaja SUA hasa wale panya wanaoweza kutegua mabomu na tafiti zao za kilimo zina tija sana. JPM amekiharibu sana UDSM kwa kukionyesha kuwa ni chuo dhaifu hasa kwa kuwaweka hadharani akina Prof. Mimacho na Dkt. Bashiru hawa wameshusha kbs ubora wa UDSM yale maonyesho nilishangaa kuna kipindi fulani eti mtu kawa bora kwa kuandika utafiti ambao upo kwenye makaratasi.
Kuna Mpuuzi mmoja last week alikuja na mada ya kupondela SUA na tafiti zao za panya,sasa aje asifie huu uchundo wa Prof wa UDSM
 
Kila watakachogusa mzugu ameshakifanya..kilichobaki ni kutoa uchawi wetu hadharani tuonyeshe ubunifu kupitia huko.

#MaendeleoHayanaChama
Kutojuwa kwako uwepo wa maeneo mengi yanayohitaji uvumbuzi usikufanye kuwa ndiyo hitimisho kwa wengine.

Mbona kuna mambo mengi sana ambayo hayajaguswa na binaadam yeyote na yanahitaji ugunduzi?

Kwa mfano: huyo mbu anayekusumbua kila usiku hapo nyumbani kwako hakupi adha kubwa katika maeneo mbalimbali? Piga akili ujue namna ya kuondokana na matatizo mengi anayokusababishia. Hao wazungu unaowasifu walishashindwa kazi hiyo.

Huo mwili wako pekee unahitaji kufanyiwa ugunduzi utokane na matatizo mengi unaojishughulisha nayo kila siku! Kwa mfano, kwani ni lazima ule kila siku mara zote hizo na gharama chungu nzima juu yake? Kwa nini usile mara moja kwa mwezi na maisha yaendelee kama kawaida!

Au unatambua ugunduzi kwenye mamashine ndipo utambue kuwa bado kuna sehemu zinahitaji kufanyiwa ugunduzi ili tuachane na mizengwe tunayokutana nayo kila siku katika maisha yetu? Kwa mfano: kwa nini usijitengenezee usafiri wako mwenyewe badala ya kutegemea mabasi ya UDA kukupeleka Kariakoo?
 
Fananisha na pambanua!
Jiwe (Magufuli) alinisikitisha sana alipokuwa anang'ang'ania kujifukiza na upuuzi mwingine, huku wengine, hata majirani zetu wakijifunza mambo chungu nzima kutokana na ugonjwa huo!

Hata sasa sijui kama kuna chuo chochote hapa nchini, au taasisi yoyote inayojihusisha na utafiti juu ya ugonjwa huo!

Nilisikitika sana kuwa nawasikia hata ma-profesa wetu mashuhuri, kama wale wa Muhimbili wakijihusisha na upuuzi aliokuwa akiufanya Magufuli juu ya ugonjwa huo.

Itatuchukua muda mwingi sana kurudisha heshima ya elimu yetu kutokana na yaliyotokea kwa muda huo mfupi wa Magufuli.

Wenzetu wanaendelea kujijenga, sisi sijui hata kama tumeanza kujitambua ili tujirekebishe na upotofu ule uliofanyika.
 
Hatuko serious kabisa, hivi karibuni British Airways walitoa ndege kwa chuo kikuu nafikiri cha Oxford ili kuendeleza utafiti kwenye teknolojia za ndege, najiuliza kama pale idara ya engineering UDSM wanafanya innovations zozote au hata kuendeleza teknolojia kwenye vyombo vya usafiri kama magari na ndege, na vyombo vya kwenda anga za juu........tusije kutembelea tukakuta guta lipo kwenye display....
Una maana pale wafundishe jinsi ya kupandaa na kukaa ndani ya ndege?!
 
Kuna Mpuuzi mmoja last week alikuja na mada ya kupondela SUA na tafiti zao za panya,sasa aje asifie huu uchundo wa Prof wa UDSM
Shida kubwa media zetu zimekalia kushabikia ujinga tu, lakini wakijikita kuangalia hivi vyuo kama Muhimbili na SUA wanafanya nini tungekuwa mbali sana kuna utafiti mzuri sana wa kuku umefanyika SUA lakini hakuna mahala unatangazwa.. UDSM ni ujinga mtupu wanafanya hawana msaada kabisa mfano injinia wanafanya nini? Walipaswa kujikita kufanya utafiti jinsi kumsaidia mkulima. Hizi kubota ni matunda watafiti wa chini sana. Kuna siku niliongea na Mvetnam akashangaa sana kuona kilimo chetu kinakosa wasomi wa kumtoa mkulima na jembe la mkononi. Sasa huu uchundo ndio nini yaani Profesa kabisa katengeneza madebe ya SIDO aibu sana hii. Wasomi wetu wanatakiwa kuibadilisha elimu yetu.
 
Jiwe (Magufuli) alinisikitisha sana alipokuwa anang'ang'ania kujifukiza na upuuzi mwingine, huku wengine, hata majirani zetu wakijifunza mambo chungu nzima kutokana na ugonjwa huo!

Hata sasa sijui kama kuna chuo chochote hapa nchini, au taasisi yoyote inayojihusisha na utafiti juu ya ugonjwa huo!

Nilisikitika sana kuwa nawasikia hata ma-profesa wetu mashuhuri, kama wale wa Muhimbili wakijihusisha na upuuzi aliokuwa akiufanya Magufuli juu ya ugonjwa huo.

Itatuchukua muda mwingi sana kurudisha heshima ya elimu yetu kutokana na yaliyotokea kwa muda huo mfupi wa Magufuli.

Wenzetu wanaendelea kujijenga, sisi sijui hata kama tumeanza kujitambua ili tujirekebishe na upotofu ule uliofanyika.
Msomi wa ajabu Kabudi kunywesha mikojo ya Wamadagascar. Hopeless kabisa wasomi wetu kazi kujisifia mimi nina PHD
 
Usikute Hilo Sanamu la Chuma ndio wanataka kwenda nalo Mwezini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana mpaka watu wamenishangaa, hatari sana, kwamba hilo sanamu la chuma ndilo wanataka kwenda nalo mwezini[emoji13][emoji13]
Wasije kutuangukia wakatuua bure, na huko mwezini wakienda wanaenda kufanya nini??
 
Hhahaha.......utafiti ni pesa, ukifuatilia bajeti inayotengwa na nchi kwa ajili ya research utalia. Si ajabu vyuo vikuu vinakuja na innovation za sanamu za mabati, siwezi kushangaa....hebu fikiria kufanya innovation ya chombo cha kwenda hapo mwezini, kwa pesa ipi?
Hata wakipewa pesa nyingi hawana pa kuanzia, zitatafunwa kwa utafti hewa
 
Hhahaha.......utafiti ni pesa, ukifuatilia bajeti inayotengwa na nchi kwa ajili ya research utalia. Si ajabu vyuo vikuu vinakuja na innovation za sanamu za mabati, siwezi kushangaa....hebu fikiria kufanya innovation ya chombo cha kwenda hapo mwezini, kwa pesa ipi?
Hiyo bajet ya NASA inakaribia na bajeti yetu ya nchi
 
Wangetengeneza hata sensor ya kupiga Alam mwizi anapokaribia dirishan,.au ukuta..Mana wez Sasa hv wamekuwa kero
Hii idea nimeipenda
Kuna jamaa mmoja nilikuwa namuona kwenye kipindi fulani cha USWAZI anaitwa Frank
Huyu jamaa alibuni na kutengeneza vitu vingi sijui aliishia wapi
 
Back
Top Bottom