Maonyesho ya Ubunifu UDSM yanafikirisha

Maonyesho ya Ubunifu UDSM yanafikirisha

Aisee. Nilistaajabu kuona Profesa katengeneza jiko la kutumia mwanga wa jua kupikia supu. Hivi ile dawa Yao ya kufukiza bado wanayo?
**Halafu mbona Kama hayo maonyesho wanafanya kwa kujificha? Promo hamna kabisa
😂 😂 😂
 
Kuhusu mbu hawajashindwa kuwaondoa..ndio mana kwako walishasahau suala la malaria..ila huku tumeachiwa mbu ili waendelee kupiga pesa kupitia dawa wanazotuuzia..kimsingi baada ya Mungu mzungu..utajitia ujinga kukataa ila ndio ukweli huo..hata wabongo wenzio kuna wambao hawataki malaria iishe ili waendelee kuchumia tumbo..ukitaka uuwe mbu..anza leo kutumia DDT pulizia nchi nzima mara kwa mara utaondosha malaria..ila kwakua wao wanalijua hilo ndio mana walipiga marufuku matumizi hayo ya DDT ila tuendelee kuhangaika na malaria wao waendelee kututawala kiuchumi.

#MaendeleoHayanaChama
Sikujua kwamba bado unamawazo mgando kama hayo.

Kwa 'level' yako hii ni vigumu kukuelewesha uelewe nilicholenga hapo.

Huhitaji kupulizia DDT kuondoa mbu. DDT itaua na viumbe wengine wenye faida katika mazingira.
Na siyo lazima uwauwe mbu ndipo uondoe malaria, ndiyo sababu kwa mtu kama wewe huwezi kuelewa ubunifu ninaoulenga katika jambo hili la mbu.

Unapomwabudu mzungu kiasi hicho, najua ni mtu wa namna gani ninayejadiliana naye; bado upo chini sana mkuu. Kama bado wewe ni mwanafunzi, basi jaribu kutanua ufikiri kidogo, maanake elimu unayopata haionyeshi kwamba inakusaidia chochote.
 
Wewe njoo na mawazo yako ila na kuhakikishia huwezi fikia wazungu..hao watu wanaishi kwaajili ya kufanya utafiti wapo kwaajili ya kutengeneza historia mpya..sasa wewe unayehangaika hujui utakula nini utavaa nini..utegemee uje na uvumbuzi gani?kwa nchi ambayo sera yake kununua wapinzani unadhani kuna kipya hapa.

#MaendeleoHayanaChama
Basi SAWA.
Nimekuelewa wewe ni mtu wa aina gani kutokana na maandishi yako haya.
 
idea ya kijinga mnooo,gari lenyewe tu ambayo ji mashine inakula kila siku(mafuta\oil) itakua wew binadamu mwenye utumbo eti ule mara moja kwa mwezi.
'Of course', kwa mtu mwenye ubongo uliolala kama wewe utaona hivyo. Maana yake ni kwamba huna akili ya ubunifu.

Hata yule jamaa aliyekuwa akijihangaisha kutafuta njia za kuruka angani pale N. Carolina, watu walikuwa wakimwona kama chizi; lakini leo hii ndege kuruka angani ni jambo la kawaida kabisa.
Hivi unaielewa barabara biologia mkuu 'Chinga One'? Huwezi kuanza kuelewa ubunifu wa hayo ninayoyasema hapo bila kujua mwili wa binaadam unafanya kazi vipi hadi kwenye ngazi ya seli (cellular biology). Sana sana unachojuwa sana wewe ni huo muundo wa utumbo, na hata hujishughulishi kujuwa huo utumbo unafanya kazi kivipi.

Kwa hiyo mtu akitoa wazo la ubunifu kuhusu mambo hayo, wewe unaona kama ni uchawi!

Sasa usije ukanielewa vibaya hapa. Tunazungumzia 'ubunifu'; umtu anapotafuta kubuni jambo haina maana ni lazima atafanikiwa kama fikra zake zilivyolenga mwanzo. Anaweza akasogeza mbele ugunduzi, na wengine wataanzia alipoishia yeye, au wakachukua mkondo mwingine kwa kutumia udadisi uleule wa mwanzo, au mbadala wake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana mpaka watu wamenishangaa, hatari sana, kwamba hilo sanamu la chuma ndilo wanataka kwenda nalo mwezini[emoji13][emoji13]
Wasije kutuangukia wakatuua bure, na huko mwezini wakienda wanaenda kufanya nini??
Ahahahahahahhah
Eti wasije wakatuangukia
 
Kazi gani? Soma kuhusu Singaple na kwingine, Nazani uko nje ya wakati mkuu, hizo za mbu mboba kitambo sana walisha vumbua?
Sasa hapa umeeleza kitu gani?
Unataka tuelewe unajuwa kitu kwa kututajia Singaple(?)

Huko walivumbua nini, hata kusema tu kilichovumbuliwa kwako ni shida?

Na kama wamevumbua huko, ina maana huku hatuwezi kuvumbua njia nyingine, pengine inayofaa zaidi kwenye mazingira yetu kuliko huo uvumbuzi huko ambao umebakia kuwa wa siri kwa watu kama wewe usiyeweza hata kueleza ni kipi kilivumbuliwa?
 
Sikujua kwamba bado unamawazo mgando kama hayo.

Kwa 'level' yako hii ni vigumu kukuelewesha uelewe nilicholenga hapo.

Huhitaji kupulizia DDT kuondoa mbu. DDT itaua na viumbe wengine wenye faida katika mazingira.
Na siyo lazima uwauwe mbu ndipo uondoe malaria, ndiyo sababu kwa mtu kama wewe huwezi kuelewa ubunifu ninaoulenga katika jambo hili la mbu.

Unapomwabudu mzungu kiasi hicho, najua ni mtu wa namna gani ninayejadiliana naye; bado upo chini sana mkuu. Kama bado wewe ni mwanafunzi, basi jaribu kutanua ufikiri kidogo, maanake elimu unayopata haionyeshi kwamba inakusaidia chochote.
Wewe hapo umefanya kipi cha maana au unaongea tu..kimsingi malaria elimination lazima upambane na mbu..mana ndio vector..ukimuangamiza mbu huwezi pata malaria utaitokomeza..hizi interventions nyingine hazi wezi kueliminate zitapunguza tu maambukizi.

Viongozi wako wa afrika na wewe mwenyewe hamna hata hela za kufund such kind of projects mnategemea mzungu nenda hapo ifakara health research institute iliyojikita kwenye malaria kuna kipi wamefanya kitokomeza mbu zaidi ya kuja naviproject uchwara,na still bado malaria prevalence ni kubwa.

Mzungu ni kama maji usipo mnywa utaogea au kufulia nguo..hakuna ubunifu nchi masikini utakao weza kuja na kipya..kama tu mtu kuunda gobole asili anakamatwa na kutishiwa mtaweza kuibua vipaji..tuache kujitia moyo..huu bunifu unaofanyika ulifanywa 100 years huko na wazungu..tuendelee kukopi na kupaste...mana hata chanjo hatuewezi tengeneza ndio mana tulikomaa na malimao na bupiji.

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
 
Mbona zipo za kichina tiyari? Uko Dunia hii kweli?
Wewe jamaa ni 'bogus' kweli!

Inaelekea huna chochote ujuacho.

Hapo mkuu Godfather-02 katoa mfano mzuri kabisa, wewe na ujinga wako unajipenyeza tu kuacha uchafu wako!

Ngoja nami nikamchangie mawazo Godfather-02, kwa sababu mfano wake unaweza kufanyiwa kazi na kutatua tatizo sasa hivi huko mashambani.
 
Wewe hapo umefanya kipi cha maana au unaongea tu..kimsingi malaria elimination lazima upambane na mbu..mana ndio vector..ukimuangamiza mbu huwezi pata malaria utaitokomeza..hizi interventions nyingine hazi wezi kueliminate zitapunguza tu maambukizi.
Hili tu hapa linakuonyesha wewe ni mpuuzi, na hujui lolote.

Kwani ni lazima uhangaike na mbu pekee ndipo uondoe tatizo la malaria?

Mbu ni sehemu moja tu, sehemu ya pili ni hivyo viini vinavyosababisha malaria. Huwezi ukafanyia kazi hivyo bila hata kumgusa mbu na ukaondoa tatizo la ugonjwa?
Na si hivyo tu kuna mambo mengi yanayoweza kufanyika katika mnyororo mzima wa ugonjwa huo, hata bila ya kumgusa mbu.
 
Kwani kweli hatuwezi kuachana na haya mambo tukafanya mambo yetu kiuhakika zaidi?
 
Hhahaha.......utafiti ni pesa, ukifuatilia bajeti inayotengwa na nchi kwa ajili ya research utalia. Si ajabu vyuo vikuu vinakuja na innovation za sanamu za mabati, siwezi kushangaa....hebu fikiria kufanya innovation ya chombo cha kwenda hapo mwezini, kwa pesa ipi?
Hata kuvumbua aina fulani ya ka"drone" kadogo dogo kuna hitaji fedha nyingi?
 
Back
Top Bottom