Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

Chuo kikuu cha Ardhi kimetoa Taarifa kwa umma kikieleza kuwa Mapacha wawili wanaofanana ambao walifanya mahojiano na kituo Cha Wasafi FM 06/03/2024 kuwa Mapacha hao watachunguzwa kutokana na kusema kuwa mmoja kati yao amewahi kumfanyia mwenzake mtihani wakati wakisoma shahada ya kwanza katika chuo hicho.

Katika mahojiano hayo Mapacha hao walisikika wakisema mmoja kati yao amewahi kumfanyia mwenzake mtihani wa Hydrolojia ambao ulikuwa n mtihani wa marudio (Supplementary) kwa kutumia kitambulisho Cha pacha mwingine.
 

Attachments

  • FB_IMG_17098214481591583.jpg
    FB_IMG_17098214481591583.jpg
    300.9 KB · Views: 3
Ni ngumu kudhibitisha,un less chuo wa vidéo za CCTV. Halafu hao mapacha si wapumbavu,watajibu si kweli na walikuwa wanapamba content tu ili kuvuta hisia za watu.
Kuna kuunganisha dots, kama kweli mmoja alipata supplementary kwenye mtihani tajwa na alipifanya akafaulu, huu nao ni ushahidi tosha dhidi ya kesi yao.
 
Back
Top Bottom