Haya jilipue basi uwahi mabikra 72 sijui utenda wapiga kavu au utavaa ndomu make lazma UTI utapata🤣🤣 Tuliosoma Cuba tumeelewa hii ni SARCASM. Kiukweli bado uislamu itazidi kuwa imani bora zaidi. Ina mapungufu machache sana.... wakristo kwenye maokoto tumetekwa mno na shetani. Sasa sadaka zote hizo si ni utapeli mtupu? Hiyo bahasha ya noeli ya kazi gani?
Hizi pesa at least zingeenda kusaidia masikini sio wa kujitajirishaHongera wana Jimbo, hongera kanisa moja la mitume.
Kumbuka haya ni mapato ya sherehe ya mavuno tu, na ni kwa jimbo moja tu.
View attachment 2833300
Ukijumlisha vyanzo vingine vya mapato mfano:
1. Tegemeza jimbo
2. Miito mitakatifu
3. Sadaka za kawaida
4 mchango wa pili
5. Bahasha za Noeli/Pasaka
6.
7.
8.
9.
Kisha kadiria kwa Nchi nzima. Nadhani utakubaliana na mimi ukubwa wa hii taasisi.
Ni tofauti kabisa na "ndugu zetu wa upande wa pili". Heko kanisa, heko watoaji.
PS
Sijajua matumizi ya hizo pesa maana kama kuna ujenzi basi itaanzishwa account ya kuchangia.
🤣🤣 Tuliosoma Cuba tumeelewa hii ni SARCASM. Kiukweli bado uislamu itazidi kuwa imani bora zaidi. Ina mapungufu machache sana.... wakristo kwenye maokoto tumetekwa mno na shetani. Sasa sadaka zote hizo si ni utapeli mtupu? Hiyo bahasha ya noeli ya kazi gani?
Sasa hivi kabla ya kurudi kanisani tafuta mtaji.We ume elewa vizuri....
Lengo la mtoa mada ni ku appreciate "ndugu zetu wa upande ule".
wao pesa siyo kipaumbele.. siyo rahisi kuchangia mabilioni kama hayo kwa mkupuo..
Acha kulalamika na majunguUnajua maana ya kulalamika?
Mimi nimesema dini ni biashara yenye faida. Kusema hivyo ndio malalamiko kwako?
Acha kulalamika na majungu
Fungua kanisa na wewe upate hio faida
Wataongezewa kima Cha Sadaka au ?Wenye kutoa wataongezewa
Sijakosea kuandika.Hollysea ❌️
Holy See ✅️
Sijakosea kuandika.Hollysea ❌️
Holy See ✅️
Acha unafiki watoaji wenyewe tumechill hatuna timeHongera wana Jimbo, hongera kanisa moja la mitume.
Kumbuka haya ni mapato ya sherehe ya mavuno tu, na ni kwa jimbo moja tu.
View attachment 2833300
Ukijumlisha vyanzo vingine vya mapato mfano:
1. Tegemeza jimbo
2. Miito mitakatifu
3. Sadaka za kawaida
4 mchango wa pili
5. Bahasha za Noeli/Pasaka
6.
7.
8.
9.
Kisha kadiria kwa Nchi nzima. Nadhani utakubaliana na mimi ukubwa wa hii taasisi.
Ni tofauti kabisa na "ndugu zetu wa upande wa pili". Heko kanisa, heko watoaji.
PS
Sijajua matumizi ya hizo pesa maana kama kuna ujenzi basi itaanzishwa account ya kuchangia.
Makao makuu zikabarikiweNaskia mnazipeleka Vaticano
#Hollysea.
Wala wingi na ujuzi wa kutamka Matusi.We ni tahira kbs kwan tunaenda makanisan au miskitini kushndana kutoa pesa au kuitafuta mbingu? Eti wa upande wa pili we ni kichaa kbs MUNGU HATAFUTWI WALA HAPATIKANI KWA UKUBWA WA TAASISI. kuku wewe
Acha kutuchonganisha na ndugu zetu wa VaticanHapo zinapelekwa vatican wazungu wakajengee ma fly over na maendeleo mengine kwenye nchi zao.
Dini walizotuletea ni biashara nzuri sana ambayo wazungu wanaifanya. .
Waumini sio wanyonge wapo vizuri ndio maana parking jumapili zinajaaKumbe watu wanatoa sadaka hivi!!? [emoji848][emoji848]
Hili pato ni kubwa kuliko hata mkoa wa singida
Acha wivuMa baba paroko wamepiga maokoto ya kutosha
Tulia mzee kwani hela hizo umetoa wewe walio toa hawalalamiki wapambe sasa roho zipo juu juuHy ndio maokoto ani yanaokotwa majitu mbumbumbu
Yanawapa hela ya Pombe n disko vizungu Vizee vilivyogomea ndoa
Nilifikir simu tu yawekwa kweny box Kumbe hadi wa2
Heshimu dini za watuNi biashara nzuri.