BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Mkono unaotoa unabarikiwa zaidi kuliko usiotoaMuumini wa Kigogo Luhanga anafaidika nini na haya mabilioni mliyochanga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkono unaotoa unabarikiwa zaidi kuliko usiotoaMuumini wa Kigogo Luhanga anafaidika nini na haya mabilioni mliyochanga?
Wanaolalamika ni njaa zinawasumbua tu.Kitu hukijui unauliza.
Utaratibu wa Kanisa kuna asilimia ndogo hutolewa kupelekwa Vatican kwa ajili ya kusaidia Kanisa kwenye majimbo maskini ya nchi mbalimbali duniani kiasi kinachosalia kinabaki ndani ya jimbo kwa ajili hiyo hiyo kusaidia Parokia zisizoweza kisadaka,mf:Jimbo la dsm linasimamia Parokia za kibiti na Mafia huko waumini ni maskini ukiwaambia watoe michango kujenga Kanisa kubwa au hospital hawawezi so wanasaidiwa na Parokia zinazojiweza.
By the way,kuna 100K yangu humo ktk jumuia yangu yupo mtu alitoa 1.5mill na hawajiulizi maswali mengi.
WhateverWataongezewa kima Cha Sadaka au ?
Hakuna investment isiyoleta return.Ni biashara nzuri.
Muongo huyo.Ukiwaambia huna walikuwa wanasemaje?
Vipi kwanini Mapadre wafikie hatua hiyo,ninyi hamna Kamati Tendaji ya Parokia ikafanya kazi hiyo?
Wala siyo njaa, elimu ya utambuzi imewaokoa wametoka nje ya box.Wanaolalamika ni njaa zinawasumbua tu.
Wakatoliki hawana njaa kiasi hichodaaa pesa ndefu sana hii na asilimia 50 imetoka kwenye mikono ya maskini ambao hawana uhakika wa msosi this is called new theft and robbery
hii imenikumbusha kitabu cha DEVIL ON THE CROSS by ngugi wa thiongo
Sasa kama mtu hakuwa mshiriki kwa nini uangaike naye? Hiyo itatoa fursa kwa waliobaki kutoshiriki shughuli za kanisa kwa imani kuwa kanisa litawazikaKile kitendo Cha kuwatenga kuanzia kwenye jumuiya na zaidi ya bunduki. Nilishashuhudia mara kibao mnakataa kufanya ibada kwenye misiba kisa aliekufa alikuwa hotoi michango
Tenga muda uende kanisa la katoliki jumapili kuona watu wanavyopendeza na sura zenye nuru huku parking zikiwa hazitoshi afu uje ufute kauli yako hapaWajinga ndio......
Na waliochanga wataendelea kuwa maskini, limbukeni, fukara na kuendelea kutapeliwa kiroho![emoji1787][emoji23][emoji28]
Hakuna investment isiyoleta return.
Roma Locuta, Causa Finita Est.
Toka hapa unafiki na uzandiki unakusumbuaCheza na Italian Mafia.
Heshimu dini za watu
Well organized.Mkuu kinyume chake Vatican huwa inatuma hela kila nchi bajeti ikipelea .mm nimesoma Consolata seminary nlikuwa najiuliza hivi kwa nn tunalipa laki mbili kwa mwaka wakati hara Private ya kipuuzi zinalipa 1m kwa mwaka .nkaja ona bajeti yaani 80% hela inatoka kwa wafadhil wakatoliki wa italy na ndo maana hata uende kijijini maskini vipi utakuta kanisa katoliki ni viwango vya maana
Safi Sana.Whatever
Kama unaona jambo jepesi fanya kanisa katoliki ni taasisi imara usifananishe na manabii uchwaraNdio mkuu yaani kanisa ni kama shamba unakuwa unavuna tu kila siku!
Hata mimi huwa nawaza huko mbeleni biashara yangu ya majeneza ikinishinda ntaanzisha kanisa najifanya nabii niliyeshukiwa na roho mtakatifu akanambia niachane na biashara ya majeneza nieneze injili na kukusanya kondoo waliopotea
Tatizo linapokuja ishu ya kanisa mnabase kwenye sadaka means mema mengi yanayofanywa na kanisa katoliki hamuyaoni kabisa.Wala siyo njaa, elimu ya utambuzi imewaokoa wametoka nje ya box.
Dini ni sehemu ya kuabudu kuconnect na muumba kamwe haiwezi kuwa biashara tatizo manabii uchwara ndio wanaliponza kanisa katolikiKwani kusema biashara sio heshima?
Sijasema biashara haramu.
Dini ni biashara kama ilivyo Elimu.
Huna cha kunidanganya, Mimi ni Mkatoliki, wala sina mpango wa kuhama lakini msimamo wangu dini zote ni Utapeli na biashara za watu.Tatizo linapokuja ishu ya kanisa mnabase kwenye sadaka means mema mengi yanayofanywa na kanisa katoliki hamuyaoni kabisa.