Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Takwimu zipi unazozitaka hapa wewe. Si nimekuwekea hoja nayoijadili hapa imetoka wapi na ni hoja namba ngapi.unataka nini zaidi au unapenda kutafuniwa kila kitu wewe umeze tu kama kinda la ndegeUmeambiwa uwe unajibu kwa takwimu kama yule msafwa Choicevariable badala ya kuwa mbea mbea na hako kanamba la Uteuzi ulikopewa na Mganga wa Kienyeji π
Halafu wewe utakuwa ni Luclesia siyo Lucas kwa sababu hakunaga mwanaume Lijali anaogopa bangi
Ndio anavuta.kwani wewe unaona akili yake ipo sawa kichwani? Huoni yupo kama kakatiza matibabu ya magonjwa ya akili.Mdude anavuta bangi?
Acheni ujinga na uroho wa madaraka nyie.kwa hiyo mnataka bunge liwe na wabunge wengi kama kanisa.
Kinda la Ndege ni yule Role model wako uliyetutangazia Waziri mkuu wa France!Takwimu zipi unazozitaka hapa wewe. Si nimekuwekea hoja nayoijadili hapa imetoka wapi na ni hoja namba ngapi.unataka nini zaidi au unapenda kutafuniwa kila kitu wewe umeze tu kama kinda la ndege
Wewe endelea kuhangaika na kuchangamana na nyumbu wa CHADEMA ambapo kwa sasa uwezo wako wa kufikiri umekuwa kama wao na umebaki kuokoteza umbea umbea na kupiga porojo tu.Kinda la Ndege ni yule Role model wako uliyetutangazia Waziri mkuu wa France!
Tangu lini CHAWA akawa na akili ya kufanya uchambuzi?Ndugu zangu Watanzania,
Nimesoma mapendekezo ya CHADEMA yaliyowasilishwa mbele ya kamati ya Bunge neno kwa neno, msitari kwa msitari na kifungu kwa kifungu.nimesoma kuanzia...
Mimi ni mlipa kodi na ninapinga mapendekezo ya kihayawani na kijinga yaliyotolewa na CHADEMA yanayotaka kutuongezea gharama za kuwahudumia wabunge badala ya kupeleka kwenye miradi ya maendeleo itakayo leta tija kwa wananchiKwa hiyo kila binadamu akisikitika na chochote alete JF? We nani kwani na una impact gani kwamba ukisikitika unakuja kuitangazia dunia badala kuongea na wanaokuhusu?
Waliofanya kosa ni wazazi wako kukuleta hapa dunianiWewe ndio endelea kuwaunga mkono hao wababaishaji wenzako
Chawa hajawahi kuwa na akiliNakusamehe bure tu maana Mungu asema samehe na kuwabariki maadui zako na wale wakuchukizao.
Jibu swali eqe mmawia .niambie kuna sababu gani na umuhimu upi kwa utafiti upi mpaka jimbo moja liwe na wabunge wawili? Kwanini CHADEMA wanataka kuongeza gharama na mzigo kwa mlipa kodi? Je ndio maendeleo hayo?Tangu lini CHAWA akawa na akili ya kufanya uchambuzi?
Wewe bakia na uchawa wako labda unaweza kupata uteuzi.
Sawa nashukuruWaliofanya kosa ni wazazi wako kukuleta hapa duniani
Tangia lini wewe umekuwa na akili timamuChawa hajawahi kuwa na akili
Ndio wana CHADEMA walichokaa wakajadili na kupendekeza kuwa wanataka jimbo moja liwe linakuwa na wabunge wawili.kwa hakika CHADEMA wajinga sana.Ndivyo alivyosema Mnyika? Kwamba anataka wabunge wawili katika kila jimbo la Uchaguzi,mmoja mwanaume na mmoja mwanamke; na kwamba yule mwanaume...
Na wewe endelea na Gabliel wa Ufaransa!Wewe endelea kuhangaika na kuchangamana na nyumbu wa CHADEMA ambapo kwa sasa uwezo wako wa kufikiri umekuwa kama wao na umebaki kuokoteza umbea umbea na kupiga porojo tu.
Nasema hivi,, mapendekezo ni ya cdm, ww unatumia muundo wa kiccm. Cdm wanataka mfuko wa majimbo, unajua ni kwa namna gani utafanya kazi?CHADEMA hawajasema wanataka vikao vya bunge vipunguzwe wala malipo yapunguzwe. Wamesema, kwenye submission yao ya John Mnyika leo, wanataka kila jimbo liwe na wabunge wawili wa kuchaguliwa, mmoja mwanamke mmoja mwanamme.
Kwa hio, kwa mapendekezo ya CHADEMA, bunge hili la sasa la watu 400 linaenda kuwa na watu 800!
Tuwe na Rais wa kike na kiume basi! Na diwani mwanamke na mwanamke. Mana tunatafuta jozi za wawili wawili wa kwenda kuchumbiana kwenye vikao!
Ni mtu gani mwenye akili kichwani, wa chama cha upinzani cha nchi ya dunia ya tatu, ya watu masikini wa kutupwa, wachafu wenye njaa, wanaoshindia mihogo na maji machafu ya mitoni, biashara za masinia ya ndizi vichwani, boda boda na mama ntilie, anaependekeza kuongeza gharama za kutajirisha viongozi ???
Jadili vitu kama mtu mzima na kutoa ushauri na hoja kama mtu uliye pevuka kifikra na kimawazo na siyo kuandika vitu na kuzungumza kama vijana waliozibuka akili na kukosa malezi bora ya wazazi wao.Na wewe endelea na Gabliel wa Ufaransa!
Naona kila siku ndio neno ulilo nalo kichwani mwako. Huna akili.
Umekurupuka Kaka, hizo enzi zimepita.Angalia namna nyingine ya kuishi, mapema kabla uzee haujakuelemea.Kama mambo ni magumu sana, nenda ukawe hata CHAWA wa Mwijaku inaweza kuwa na tija kwako kuliko hii ligi unayoitamani.Nakusamehe bure tu maana Mungu asema samehe na kuwabariki maadui zako na wale wakuchukizao.
Weka open hapa jukwaani nakala ya hayo mapendekezo, ili twende sawaNdugu zangu Watanzania,
Nimesoma mapendekezo ya CHADEMA yaliyowasilishwa mbele ya kamati ya Bunge neno kwa neno, msitari kwa msitari na kifungu kwa kifungu.nimesoma kuanzia mwanzo hadi mwisho kwa kuwa mimi siyo mvivu katika kusoma na huwezi ukanificha jambo kwa kuliweka kwenye maandishi kwa matarajio kwamba sitasoma...