Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Nijibu kwanza suali langu kuwa je unaona ni sawa jimbo moja liwe na wabunge wawili kama inavyopendekezwa na CHADEMA? Unaona ni sawa kuwabebesha gharama kubwa watanzania?Umeliona hilo? Leo hii kuna umuhimu gani wa serikali ya ccm kuwa na DED na DC wilaya moja?
Wote wanakuwa na magari ya kifahari huoni kuwa ni ifujaji wa rasilimali za taifa?
Wacha kujiondoa akili kwa sababu ya kulazimisha uteuzi