Mapenzi: Kuna wanaume wanaopendwa na kukataa

Ni kweli aisee wiki imekata hatujakutanisha macho kabisaaaa, kumbe yo existing!!!

Mweeeh!! Nilisoma kwa mshutuko mkubwaaa..afadhali nilipokutana na neno "macho"
 
Kuna haina mbili ya wanaume wanaoendeshwa na hisia yani vi muscles expansion na wanaopenda sasa hapo ndipo shidaa huanza anaependa hawezi kupelekwa kwa kwa hisia yeyote bila kumpenda muhusika hii usababisha kumpuuza mtu anaependwa nae lakini hawa wenzangu wanaotanguliza hisia huwa hawajali sababu lengo lao kubwa ni kukidhi aja
 

utakuwa na matatizo ww
 
Aisee umenkumbusha mbali kweli nilipokuwa primary darasa la sita kuna mdada huyo alikuwa ananipenda hatar sema mie nilimkataa na kumwambia afate kilichomleta shuleni....dah !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…