Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha mmh makubwa sasa
??????? dushe eehSasa hivi nimechoka kutongoza now naomba tuu dushe.
Hahaha
Evelyn Salt hebu njoo umwambie huyu mvulana, ni kitu gani hasa kimekufanya unidondokee namna hii??
Wenyeji wa jamvi salaaam.
Nimekua nikijiuliza mara nyingi juu ya wale wanaume wanaobahatika kupendwa sana na wanawake fulani waliokaribu nao iwe kazini, vyuoni, mitaani n.k halafu huwa wanakataa kwa nguvu zote.
Hivi hata kama hujawahi kukutana na hali hii unahdani ni mambo gani yanayoweza kuwa sababu kwa wewe kumkataa mwanamke?
natanguliza shukrani zangu.
Hapana, sikukubali labda hukunielewa. Nlikwambia tuonane kwanza ili tuongee. Mgegedo wangu hautoki kirahisi
pwilo kakimbia yupo ananisubiri pm nimtongoze. Anauma kucha mwenyew daaahnitampata support
On serious note nimekumisi swahiba.mi mwenye nakupendaga we kibabu nashangaa umenikataa eti kiisa flat screen!! Hahah!
Kati ya kumi watakaokataa hawazidi wawili
cute b naomba nishushie nyavu mwaya siku yangu ipendeze!!!
Utapigwa ban. Sheria na 49 (a) kifungu kidogo cha (i) sheria za JF kinakatazaHeheheeee hivi screen cupture za pm zinaruhusiwa niletee?
??????? dushe eeh
weeeeeeNdioo....
Maisha yenyewe mafupi haya, wacha nijifurahie tu mie.
Utapigwa ban. Sheria na 49 (a) kifungu kidogo cha (i) sheria za JF kinakataza
Za siku mbili tatu.nimetulia kdg baada ya ile.dhoruba ya mod sasa sijui na hii ataiona.
Mwambie aje jamani simwombi tena dushe.