Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wengi huwa wanaamini kwamba kwamba mwanamume ni kiumbe dhaifu mbele ya wanawake (of course kuna ukweli flani) ila kuna mazingira pia wanaume huwa wanakuwa wagumu sana hata mwanamke ajigonge vipi, kitakachofanyika ni kuwa anakukwepa tu ili mradi asiingie kwenye anga zako pamoja na kwamba mnapokuwa kazini ataonyesha ushirikiano ila zile sehemu hatarishi kama nyumbani kwako na sehemu nyingine hata umwalike haji na akija anakuja na rafiki yake.
Kimsingi ukiona mwanamume anamkimbia bidada especially yule ambae kwa vigezo vya kibinadamu kwamba anaitwa mrembo ujue huyo jamaa kwanza ana mrembo wake ambae ameshamfanyia screening na kumwona anafaa kuwa wife wake pia kingine namna ambavyo huyo mrembo anatumia nguvu kumnasa mwanamume hivyo anaona kabisa hapa nikinasa mahusiano yangu niliyojenga na mrembo wangu kwa miaka mingi yatavunjika, but ukiingia kwa speed ya kawaida na akagundua kwamba sio king'ang'anizi na unatumia approach za kawaida ambazo zitamfanya akutokea huwa wengi tunakamatika kiurahisi na hapo ndio ule msemo wa mwanamume ni kiumbe dhaifu. (though napo inategemea maana hapo nae anaweza akawa anakupa ma-hope ya hata mnatoka wote alafu anaingia mitini hasa ukizingatia wanaume huwa hawamkatai mwanamke kwa style ya kumshushua zaidi ya kumwonyesha sign ya kutomwelewa aka domo zege kumbe ndio anakukataa hivyo unless kama umemwambia kabisa
Kikubwa hapo ni mvuto unahusika napo anaweza aka run away na hapa ni wengi
Swadakta...chupa imepata mfuniko
Hahahaaaa!! Haiwezekani zifutwe hivi hivi tu, kuna namna
Comments zako nyingi zina afya.
Hata mie nilishawakataa wengi saaana
Katoto hivi vitu vinaenda kwa kujuana..We heaven kuna mtu yeyote unafahamiana naye??..Usije ukapata siti za nyuma ukashindwa kuwaona hata wakina Rose muhando wakiwa wanaperfom
Unajua mmmh!!! Tena zinafutwa kwakunyofolewa nyofolewa, hadi nasikia harufu ya ban.
Teh teh..We utakuwa unafahamiana na Brian Deacon sio YesuNafahamiana na Yesu
Usiwe na imani haba
Hahahahaha!!! Basi sikuhisi tena, bila shaka ni binadamu na hila zao
Naam na zaidi ya hila, lakinu watashindana ila.....
Serious