Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Fanya yoote duniani!, Lakini furaha na Amani ya nafsi, peace of mind,

Inapatikikana pale utakapokuwa umemmliliki huyo mtu mzima, hapa namaanisha mtu mzima lakini awe (sahihi!)

anaepaswa kuitwa mume ama baba wa familia, na sio baba jeni!!

Mkiwa mwili mmoja- mke na mme mkilea familia, hakuna maisha yenye furaha na Amani kama hayo.
 
You need deliverance πŸ˜…πŸ˜…
Weee tuliaaa nitawapa mrejesho leoleo

Yeye anadhan masuala ya wokovu siyajui.

Papuchi ni papuchi na wokovu ni wokovu .

Tulieni tuuu.wa hivi mbona hawana Shida.


You know what am just a high value Man...hizi papuchi zipo tuu .

Kuna wengine wananileteaga pigo hizo ..

Nawapotezeaaa, wananitafuta Tena wenyewe nawala
 
Kabisa mkuu
 
Fanya vyooote! duniani, lakini furaha na Amani ya nafsi, peace of mind,

Inapatikikana pale utakapokuwa umemmliliki huyo mtu mzima, hapa namaanisha mtu mzima lakini awe (sahihi!)

anaepaswa kuitwa mume ama baba wa familia, na sio baba jeni!!

Mkiwa mwili mmoja- mke na mm mkilea familia, hakuna maisha yenye furaha na Amani kama hayo.
 
Hongera sana mwamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…