Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....

Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....

1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,

2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii

3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.

4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.

5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.

6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.

7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.

Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.

Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Fanya yoote duniani!, Lakini furaha na Amani ya nafsi, peace of mind,

Inapatikikana pale utakapokuwa umemmliliki huyo mtu mzima, hapa namaanisha mtu mzima lakini awe (sahihi!)

anaepaswa kuitwa mume ama baba wa familia, na sio baba jeni!!

Mkiwa mwili mmoja- mke na mme mkilea familia, hakuna maisha yenye furaha na Amani kama hayo.
 
You need deliverance 😅😅
Weee tuliaaa nitawapa mrejesho leoleo

Yeye anadhan masuala ya wokovu siyajui.

Papuchi ni papuchi na wokovu ni wokovu .

Tulieni tuuu.wa hivi mbona hawana Shida.


You know what am just a high value Man...hizi papuchi zipo tuu .

Kuna wengine wananileteaga pigo hizo ..

Nawapotezeaaa, wananitafuta Tena wenyewe nawala
 
Fanya yoyote duniani, lakini furaha na Amani ya nafsi, peace of mind,

Inapatikikana pale utakapokuwa umemmliliki huyo mtu mzima, hapa namaanisha mtu mzima lakini awe (sahihi!)

anaepaswa kuitwa mume ama baba wa familia, na sio baba jeni!!

Mkiwa mwili mmoja- mke na mme mkilea familia, hakuna maisha yenye furaha na Amani kama hayo.
Kabisa mkuu
 
Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....

Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....

1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,

2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii

3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.

4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.

5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.

6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.

7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.

Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.

Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Fanya vyooote! duniani, lakini furaha na Amani ya nafsi, peace of mind,

Inapatikikana pale utakapokuwa umemmliliki huyo mtu mzima, hapa namaanisha mtu mzima lakini awe (sahihi!)

anaepaswa kuitwa mume ama baba wa familia, na sio baba jeni!!

Mkiwa mwili mmoja- mke na mm mkilea familia, hakuna maisha yenye furaha na Amani kama hayo.
 
Weee tuliaaa nitawapa mrejesho leoleo

Yeye anadhan masuala ya wokovu siyajui.

Papuchi ni papuchi na wokovu ni wokovu .

Tulieni tuuu.wa hivi mbona hawana Shida.


You know what am just a high value Man...hizi papuchi zipo tuu .

Kuna wengine wananileteaga pigo hizo ..

Nawapotezeaaa, wananitafuta Tena wenyewe nawala
Hongera sana mwamba.
 
Back
Top Bottom