Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....

Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....

1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,

2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii

3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.

4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.

5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.

6. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.

Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.

Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.

Ila huyo mtu mzima awe mtafutaji na wewe uwe mtafutaji ndio pananoga
Sio limojawapo linasubiria kutafuniwa et mapenz
Mwenzio anateseka umekaa panaupendo gan hapo
Yani haina tofaut na mtu umkute amenasa usimtoe we unamwambia tu pambana love Nakupenda utatoka [emoji41]
 
Hii imekaa kiupande m'moja sana, kuna upande wa uharibifu hapa haujaongelea. Sidhani kama ni sawa kwanza kudeal na watu waliokuzidi umri.

Mtu ameshatumia ujana wake halafu uzee ndio aje kutumia na wewe?!

Hapo me nadhani unakuwa na lengo la kufaidika kiuchumi tu na si vinginevyo.
📌
 
Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....

Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....

1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,

2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii

3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.

4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.

5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.

6. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.

Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.

Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Inaonekana una uzoefu mkubwa maeneo hayo
 
Hii imekaa kiupande m'moja sana, kuna upande wa uharibifu hapa haujaongelea. Sidhani kama ni sawa kwanza kudeal na watu waliokuzidi umri.

Mtu ameshatumia ujana wake halafu uzee ndio aje kutumia na wewe?!

Hapo me nadhani unakuwa na lengo la kufaidika kiuchumi tu na si vinginevyo.
Mapenzi hayachagui mkuu.
Hawa watu above 50 wapendwe na nani jamani? Au wao hawana haki ya kupendwa? Wakipendwa mnasema ni sababu ya kutaka kitu ...kwelii??
 
Ila huyo mtu mzima awe mtafutaji na wewe uwe mtafutaji ndio pananoga
Sio limojawapo linasubiria kutafuniwa et mapenz
Mwenzio anateseka umekaa panaupendo gan hapo
Yani haina tofaut na mtu umkute amenasa usimtoe we unamwambia tu pambana love Nakupenda utatoka [emoji41]
Yeah wote mkiwa watafutaji inanoga sana.
Mitano tena kwa watu wazima
 
Suala liko pale pale 'Kujitambua & Kujiheshimu na akili, sio elimu'.

Anaweza akawa ni kijana ila akiwa anajitambua na kujiheshimu, that's good.

Kuna watu wazima ni wa hovyo kweli kweli! 😁

Sisi ma-Admin wa kurasa na majukwaa mbali mbali tunazo habari zao.😀

Somehow nasalute, but ni vile tu umri umeamua kurest na mambo mengi wameshapitia. They know what's good & what's bad, so wanakuwa responsible!
 
Suala liko pale pale 'Kujitambua & Kujiheshimu na akili, sio elimu'.

Anaweza akawa ni kijana ila akiwa anajitambua na kujiheshimu, that's good.

Kuna watu wazima ni wa hovyo kweli kweli! 😁

Sisi ma-Admin wa kurasa na majukwaa mbali mbali tunazo habari zao.😀

Somehow nasalute, but ni vile tu umri umeamua kurest na mambo mengi wameshapitia. They know what's good & what's bad, so wanakuwa responsible!
Na ndo maana nimeandika wanaojitambua...natambua uwepo wa watu wazima wa ovyo kweli kwelii
 
Back
Top Bottom