Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Naunga mkono hoja iliyowasilishwa mezani.
Hili halina pingamizi, ukweli mtupu huu.
Watu wazima oyeeee
 
Bora

Yani unamlalia kifuan unakuna kuna tumvi mvi twake kunakoota kwa mbalii
Yaan ni unakuwa kama mtoto kwa baba! Ila kijanja....ukimdekeza na yeye uwwiiii mara umlishe, mara umuogeshe, eti baby siezi oga mwenyewe njoo linakuwa zuzu ilooo useme nini usipewe?
 
Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....

Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....

1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,

2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii

3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.

4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.

5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.

6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.

7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.

Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.

Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Wanajua kujaili Sana
Niliwahi pata MSHANGAZI MMOJA hivi, Nitaileta story yake siku nyingine
 
Wangu kanizidi miaka 25,ila ana drama kuzidi slay Queen anaesoma certificate CBE,Msumbufu,mjanja mjanja, hapa ndio naamini kua Age is just a number, itoshe tu kusema nilie nae ni MTU MZIMA KISHETI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanzo huwa vinafata pesa lakini vingine kadri siku zinavyoenda kanazoea na kumuona huyo mzee kama kijana na kanazama penzini kabisa hata sumu kanaweza kunywa hasa huyo mzee wa miaka 50 akiwa anajua na kubandua

Naona unaniongelea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimezama haswa hapa liwalo na liwe [emoji2094][emoji2094][emoji2094][emoji2094]
 
Back
Top Bottom