Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Walikua wanamchezesha kitofauti tofauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mie mdogo!
 
Kuna mwana ccm mmoja ni ex waziri alinishangaza sana. Yani sixty years plus lakini alikuwa na maajabu ya haja hadi nilishangaa.
Dahh halafu msafiiiiiiiiiiiiiiii
..Kuna vitu alikuwa katumia siku kadhaa before specifically akutendee maajabu , na seems it panned out well for him, hapo akikujaribu tu ukakumbukia unaji marinate taartibu ex minister anakula warm meal served.
 
..Kuna vitu alikuwa katumia siku kadhaa before specifically akutendee maajabu , na seems it panned out well for him, hapo akikujaribu tu ukakumbukia unaji marinate taartibu ex minister anakula warm meal served.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Simhitaji tena....
Kwanza tuko sehemu tofauti kwa sasa
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€mi nataka macho mawili tu
 
Halafu siku hizi vijana mbona hamna maajabu yoyote we chunguza wanao nunua vumbi na kunywa mchuzi wa pweza ni wazee au vijanaπŸ˜¬πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Wangu kila eneo yuko vizuri namshukuru Mungu kwa kweli.
Mi ndo maana nikitongozwa na kijana naona kama nimekosewa
 
mzee Akhaa hakupi presha wala stress, anakupa show ya kibabe aah bwana 😊😊😊
Hii kauli ishaniharibuuu hapaa walai πŸ˜ŒπŸ˜ŒπŸ˜ŒπŸ˜‚πŸ˜‚ Nishamkumbuka mtyuuuuu
πŸ€£πŸ˜ŽπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈ!
 
Kinachoharibu mahusiano, ni mmoja kumgeuza mwenzake kuwa chuma ulete. Kama wataheshimu hisia, mahusiano yatakuwa mazuri kwa watu wazima na vijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…