Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Una speed sana nowdaysUsipochakata mbususu, uchakate nn tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una speed sana nowdaysUsipochakata mbususu, uchakate nn tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo hapanaa chezea.Zamu yao imefikiwa kwakweli
Wana nafasi yao peponi. Wee unadhan kuhonga milion 50 cash ni mchezooo??
Ushauri huu uchukuliwe kwa wote wenye makasiriko na hoja zangu.Vijana wamekusikia cha umuhimu saivi wafanye wawekeze wawe ba miradi ya kuwaingizia mtonyo waje kuwa na vibunda vya kuopoa mabinti pisi kali mbeleni huko wakiwa na 50+
Na hapo kinazima simu au hakipokei ukipiga baada ya kupelekewa miti kitakuambia tulikuwa na test au nilikuwa class 🤣🤣🤣Hahahahahah unakuta kuna beki kakaba anaenda kula kidude 🤣🤣🤣 mzee baba unapigwa Kalenda hadi j3
Wale wanakuwaga washatubu, wengi hawana mambo ya kishwaini tena. Akikutunuku unakula kidude na mipunga anakupa yani unakuwa kama mwanae tu 😀😀😀 wale ambao wako vizuri na anakuona una brains hadi channel za mipunga anakupa.Nilimpata mtu mzma huyo mambo yalininyookea sana,sijui alikua na nyota gan yule mama.
Unaweza kupigwa kimoja viwili ila heavy weight hadi mwenyewe unaomba pooo!! Hizo bao 4 tano za vijana mbwembwe tu!Yeah umepigilia msumari
Kudumu masaa na masaa kwenye sex nako ni kutokuwa na majukumu asee.
Mtu una miradi debe hata mingine huijui unachotaka ni kulala kifuani huku unakunwa kunwa kichwa na kubembelezwa sio heka heka
Kwa hio umeliwa na mtu mzmaSalamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,
2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii
3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.
5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.
7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.
Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.
Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Sitarajii makubwa hivyo, nafurahia kupetiwa na kuambiwa maneno mazuri, halafu anakuwa anakushauri kwenye changamoto za maisha. Unakuwa umepata mpenzi na mshkaji hapo hapo.Hahah yani sku ya sku usishangae raaaaaaaaange imepaki hapo ni surprise ya birthday
Hahahahah acheni tu, wawindaji haramu tunateseka sana 😀😀😀Na hapo kinazima simu au hakipokei ukipiga baada ya kupelekewa miti kitakuambia tulikuwa na test au nilikuwa class 🤣🤣🤣
Bas hakuna tofauti ya kijana na wazeeNa ndo maana nimeandika wanaojitambua...natambua uwepo wa watu wazima wa ovyo kweli kwelii
😂😂 me long time agoo in bethlehem mkuuKasafiria nyota huyo, jichanganye ukutane na bishoo wa Katalunya 🤣🤣🤣
Yaani wazee wanajua kukupa furaha na amani tena kwenye kujua majukumu yake wala haitaji kelele anatimiza kwa wakati.Woyoooooo Mi5 tena kwa wazee
Vijana wamekasirika wanaandamana hadi kwa mama.
Wanastahili kujengewa sanamuAcha tu yanii .. They Don't complicate issues iama hawa vichomiii!
Yani mtu unaenjoyyy hadi basiii ni nirahaa ni burudaniiiii ni amani na utulivu tu nyieeeee[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Dada ongezea watu wazima wenye kipato kikubwa i mean hela!!!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!!!!Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,
2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii
3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.
5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.
7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.
Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.
Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Ndolama ni wewe tu huna rafiki, wenzako wanazoWanaume wote wachakataji mbusuu sema tuu ndalama kikwazo
Kabisaa yani!Wanastahili kujengewa sanamu
Sema mwenye kulipa kodi kwa wakatiYaani wazee wanajua kukupa furaha na amani tena kwenye kujua majukumu yake wala haitaji kelele anatimiza kwa wakati.