Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Basi vijana wanaozunguka na bahasha mjini kutafuta ajira wananisonya kimya kimya.....
Watakuwa wazee tu ila watafute kwa bidii ili uzee wao uwe mzuri.
Eeeh Mungu nilindie huyu mzee....
Hahahaaa... Nakaziaaaaaaaaaaaaa lol! Mungu awalinde na kuwabariki zaidi na zaidiii kwakweli!!
 
Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....

Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....

1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,

2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii

3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.

4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.

5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.

6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.

7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.

Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.

Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Mtoa mada aiseee kunywa Mo chungwaa ya baridiiii😍
 
Huwa sipendi negative arguments na ndo maana huwa najibu polite...
Account yangu inasoma vizuri tu...elimu yangu ni kubwa tu na exposure yangu duniani ni kubwa tuu. So sina njaa kama udhaniavyo.

Ila ushauri wa bure ninaokupa kila daraja lina abiria wake. Siku njema sitakujibu tena.
-Jf Kila Mtu ana elimu kubwa na exposure kubwa,
- lakini hoja inabaki pale pale kuwa Unapenda watu wazima Kwa sababu ya kuomba pesa na njaa zako.
 
Hahahaaa... Nakaziaaaaaaaaaaaaa lol! Mungu awalinde na kuwabariki zaidi na zaidiii kwakweli!!
Aminaaaaaa
Yani wanatatua tatizo kuanzia kwenye chanzo.....
Akiona ww ni wa vizinga anajua shida si wewe ni chanzo cha mapato huna anafungua biashara au kama una elimu anakuweka mahali.
Mi5 tena kwa watu wazima. Ukiona hupendi basi usipite kwenye huu uzi.
 
Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....

Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....

1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,

2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii

3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.

4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.

5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.

6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.

7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.

Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.

Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Nilimpata mtu mzma huyo mambo yalininyookea sana,sijui alikua na nyota gan yule mama.
 
Back
Top Bottom