Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea hivyo hivyo na mengi yatakuepuka.....Yeah ndo msimamo wangu.
Hahahaaa... Nakaziaaaaaaaaaaaaa lol! Mungu awalinde na kuwabariki zaidi na zaidiii kwakweli!!Basi vijana wanaozunguka na bahasha mjini kutafuta ajira wananisonya kimya kimya.....
Watakuwa wazee tu ila watafute kwa bidii ili uzee wao uwe mzuri.
Eeeh Mungu nilindie huyu mzee....
Nakosaje 😂😂 jf sihamiKumbe na wewe ni mmoja wao😎
Hahahahahah unakuta kuna beki kakaba anaenda kula kidude 🤣🤣🤣 mzee baba unapigwa Kalenda hadi j3Usikute hapo kinaenda kukazwa na mchizi mwingine. Vitoto vya chuo pasua kichwa aisee
Mara nina assignmentI
Ila kitoto kimwanachuo hapo jiandae na saundi, mara tumeitwa seminar hivyo sitaweza kuja.
Havikosi sababu vile, kinaweza hata kujipa ugonjwa wa kichwa.Mara nina assignment
Mtoa mada aiseee kunywa Mo chungwaa ya baridiiii😍Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,
2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii
3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.
5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.
7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.
Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.
Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Yaani ili mradi lile andiko la kula Kwa jasho litimieHavikosi sababu vile, kinaweza hata kujipa ugonjwa wa kichwa.
-Jf Kila Mtu ana elimu kubwa na exposure kubwa,Huwa sipendi negative arguments na ndo maana huwa najibu polite...
Account yangu inasoma vizuri tu...elimu yangu ni kubwa tu na exposure yangu duniani ni kubwa tuu. So sina njaa kama udhaniavyo.
Ila ushauri wa bure ninaokupa kila daraja lina abiria wake. Siku njema sitakujibu tena.
Usipochakata mbususu, uchakate nn tenaSiku hizi umekuwa mchakata mbususu huna tofauti na mzabzab
😀😃
AminaaaaaaHahahaaa... Nakaziaaaaaaaaaaaaa lol! Mungu awalinde na kuwabariki zaidi na zaidiii kwakweli!!
Pesa ni sabuni ya mambo mengiPesa sabuni ya penziiii
Vijana wamekusikia cha umuhimu saivi wawekeze wawe na miradi ya kuwaingizia mtonyo waje kuwa na vibunda vya kuopoa mabinti pisi kali mbeleni huko wakiwa na 50+Wakipita kipindi cha heka heka watatulia tu ni stage yao
Hapo ushapeleka sana vizawadi zawadi week nzima. Unataka ukachuje nafaka saundi debe.Yaani ili mradi lile andiko la kula Kwa jasho litimie
Na nauli kamekula🤣🤣Hapo ushapeleka sana vizawadi zawadi week nzima. Unataka ukachuje nafaka saundi debe.
Nilimpata mtu mzma huyo mambo yalininyookea sana,sijui alikua na nyota gan yule mama.Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,
2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii
3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.
5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.
7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.
Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.
Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Watakufa wawaache na huzuni na wakuwafariji ni hao hao vijanaHahahaaa... Nakaziaaaaaaaaaaaaa lol! Mungu awalinde na kuwabariki zaidi na zaidiii kwakweli!!