King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
I think I'm Big Meech, Larry Hoover ,Whippin' work, Hallelujah.
Michezo ya Selina Kuchezea na nywele Utasema hallelujah.
Michezo ya Selina Kuchezea na nywele Utasema hallelujah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
-acha umalayaSalamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,
2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii
3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.
5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.
7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.
Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.
Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Imenijia taswira ya mama wema sepengaNa ndo maana nimeandika wanaojitambua...natambua uwepo wa watu wazima wa ovyo kweli kwelii
-punguza njaa utapakuliwa kinyesiAsante mkuu.
🤣🤣🤣 kwa hiyo mnawashaurije vijana?Yeah umepigilia msumari
Kudumu masaa na masaa kwenye sex nako ni kutokuwa na majukumu asee.
Mtu una miradi debe hata mingine huijui unachotaka ni kulala kifuani huku unakunwa kunwa kichwa na kubembelezwa sio heka heka
Ila kitoto kimwanachuo hapo jiandae na saundi, mara tumeitwa seminar hivyo sitaweza kuja.Akikuambia Jumatano ndo nakuletea Mzigo.
Kweli banaa wee jiandae tuuu kula mbususu yaan Wana ahidi kweli
Hauna wa akiba umrushe pande hi chap😎Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,
2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii
3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.
5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.
7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.
Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.
Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Upumbavu mtupu 🤣🤣🤣Hahaha anagombea me na mwanae
Kumbe na wewe ni mmoja wao😎Marahaba, ahsante kwa kutusifia, sisi ndio watu wazima dawa, tunaponya.
Usikute hapo kinaenda kukazwa na mchizi mwingine. Vitoto vya chuo pasua kichwa aiseeI
Ila kitoto kimwanachuo hapo jiandae na saundi, mara tumeitwa seminar hivyo sitaweza kuja.
Huwa sipendi negative arguments na ndo maana huwa najibu polite...-punguza njaa utapakuliwa kinyesi
Binti nakushauri usipende kujibu negative comments.......Huwa sipendi negative arguments na ndo maana huwa najibu polite...
Account yangu inasoma vizuri tu...elimu yangu ni kubwa tu na exposure yangu duniani ni kubwa tuu. So sina njaa kama udhaniavyo.
Ila ushauri wa bure ninaokupa kila daraja lina abiria wake. Siku njema sitakujibu tena.
Kasafiria nyota huyo, jichanganye ukutane na bishoo wa Katalunya 🤣🤣🤣Kumbe na wewe ni mmoja wao😎