Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....

Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....

1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,

2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii

3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.

4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.

5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.

6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.

7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.

Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.

Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
-acha umalaya
- Acha njaa
 
Yeah umepigilia msumari
Kudumu masaa na masaa kwenye sex nako ni kutokuwa na majukumu asee.
Mtu una miradi debe hata mingine huijui unachotaka ni kulala kifuani huku unakunwa kunwa kichwa na kubembelezwa sio heka heka
🤣🤣🤣 kwa hiyo mnawashaurije vijana?
 
Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....

Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....

1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,

2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii

3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.

4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.

5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.

6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.

7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.

Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.

Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Hauna wa akiba umrushe pande hi chap😎
 
-punguza njaa utapakuliwa kinyesi
Huwa sipendi negative arguments na ndo maana huwa najibu polite...
Account yangu inasoma vizuri tu...elimu yangu ni kubwa tu na exposure yangu duniani ni kubwa tuu. So sina njaa kama udhaniavyo.

Ila ushauri wa bure ninaokupa kila daraja lina abiria wake. Siku njema sitakujibu tena.
 
Kiujumla mwanamume kuanzia miaka 50 ndio unaanza kuyafurahia mapenzi....miaka hiyo ndio unawaka ujana Ile mbaya na ukibahatika kuwa na kipato ndio kabisa....kama hutojizuia utajikuta unazikwa mapema........

Huwezi kupiga bao nyingi kama kuku lakini hilo moja linaweza kuchukua hata lisaa lizima......

Nashangaa mtu wa miaka 50 anaitwa mtu mzima.....nikisikia hivyo huwaga nafurahi sana na kuguna.......ngoja niishie hapa nisitoe Siri ya Kambi.......
 
Huwa sipendi negative arguments na ndo maana huwa najibu polite...
Account yangu inasoma vizuri tu...elimu yangu ni kubwa tu na exposure yangu duniani ni kubwa tuu. So sina njaa kama udhaniavyo.

Ila ushauri wa bure ninaokupa kila daraja lina abiria wake. Siku njema sitakujibu tena.
Binti nakushauri usipende kujibu negative comments.......
 
Back
Top Bottom