DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kama umri umesonga Bora kutulia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakuja bwege kavaa kinjunga atajua hajui 🤣🤣🤣Kuanzia 2030 naweza anzra kuletewa posa kwa ajili ya binti yangu.. Panapo uhai...
Hawa waduwanzi wajipange kulaleki. 😂
Niliona ile clip yako ukiwa Wavuvi Camp huo mwili sio wako ukipata shangazi
Mimi nitakupambania shangazi la ukweli anaishi Tegeta
Antonia umecheekaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Khakhakhaaaa!!
Hivi binti kutoka na mwanamume mwenye 50+ anafuata mapenzi au pesa tuseme tu ukweli
Hataki niungue vidoleItakuwa jambo la msingi na sekondari.. Unipikie na kabiriani, juice ya embe kwa ya kutosha.. Nyama nyingi si unajua sisi wa uswahilini tunapakuliwa mboga tunahesabiwa kabisa, nyama(finyango) ni mbili mbili.. 😂 😂
Mzee kapagawa 🤣🤣🤣Hiki ndo mnachokipeleka nyumbani.. eti mtu mzima🙁
Unaenda kulala na mtu mzima rika ya baba ako eti kisa pesa halafu wenyewe mnaita mapenzi ya kweli🤔🤣..
Wewe uliyewahi kufukuzwa kazi kisa mchepuko wa bosi.. 😂Ika tokea mimi ndio naoa binti yako itakuwaje? [emoji15]
Kumbe watu wazima wote wana pesa...sijui nakwama wapi!3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
InapendezaHuu uzi watu wako buzy si kitoto😆😆
View attachment 2492664
Wewe uliyewahi kufukuzwa kazi kisa mchepuko wa bosi.. [emoji23]
Hapa nisshanyimwa msosi.. Hivyo vya out sie hatuwezi, unaletewa tambi na vijiko, uma na kisu 😂Hataki niungue vidole
Anapenda tule nje
Sku moja moja sana ndo huwa napika..
Kama hyo ya wewe kuja lazima iwe out
Hii mada ni ya makasiriko...Huu uzi watu wako buzy si kitoto😆😆
View attachment 2492664
Usihofu mdogo wangu naelewa unavyopambana siku si nyingi utapata pa kuutwika mzigo wako na kuinjoi raha za dunia.Dah nimelia kwa uchungu sana kwa kauli yako [emoji24][emoji24][emoji24] umeona mwili kama naomba chai posta hapa [emoji24][emoji24][emoji24]
Nipambanie uniweke hapo niishi ninenepe kidogo
Wanastahili sifa hizi na nyingine za ziada😁😁Kama hawakuwa vijana vile mnavyowasifia 😁
Dr. Kumazan Jackal 🤣🤣🤣 naona unawapelekea umeme sana, hao wa hio age uzuri wanaelewa mapema sana kuwa nini unahitaji na wanatekelezaKuna huyu nilikutana naye stationary anatoa kopi ya makaratasi ya TRA,
Anajifanya Sitaki nataka japo ni bidada wamiaka 35 .
Huyu nitampa Extrovert
View attachment 2492673View attachment 2492677
Anakuja kuleta posa kwangu, jioni napeleka posa kwao nataka nimuoe yeye. 😂Anakuja bwege kavaa kinjunga atajua hajui 🤣🤣🤣
Kaa mbali kijana..Ndio mimi huyo huyo naleta posa utakataa niwe mkweo
Yani wewe ushaharibikaaaaKuna huyu nilikutana naye stationary anatoa kopi ya makaratasi ya TRA,
Anajifanya Sitaki nataka japo ni bidada wamiaka 35 .
Huyu nitampa Extrovert
View attachment 2492673View attachment 2492677
Usihofu mdogo wangu naelewa unavyopambana siku si nyingi utapata pa kuutwika mzigo wako na kuinjoi raha za dunia.
Sisi si huwa tunawapeti peti hawa mabinti sasa kwa shangazi wewe utapetiwa kama katoto na kupakatwa unapakatwa mixer kuogeshwa