Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Unatuma nauli halafu unakutana na maswali ya hivi
 
Naona hujakutana na ngozi nyeupe ikakuoeleka mpaka saa huo unarudi isiwe ishu.

Ika binafsi Mimi naona ni hisia ukiwa unamfeel mtu joto unalisikia tu. Kuna mromania moja Huwa namkubalu sana yaani ngoja niishie hapa[emoji23]
 
Inasikitisha sana 😀 😀
 
Naona hujakutana na ngozi nyeupe ikakuoeleka mpaka saa huo unarudi isiwe ishu.

Ika binafsi Mimi naona ni hisia ukiwa unamfeel mtu joto unalisikia tu. Kuna mromania moja Huwa namkubalu sana yaani ngoja niishie hapa[emoji23]
Eastern Europe ina wanawake watam balaa mkuu!
 
hii ni kweli mwanamke anaemba nauli ya 50k shuka chini akija niomba hela after date simpi zaidi ya 30k otherwise anieleze shida ya ndani sana itakayonishawishi nimpe 100k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea kwa uchungu sana
Mwenye kusikia na askie hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…