Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Hivi nauli ya daladala mia4 utafananisha na nauli za mkoa tu mkoaa yaani kabisa sina kazi halafu usinitumie nauli utegemee hiyo elfu50 naitoa wapi ya kukufuataa
Sasa demu ambae anashindwa kujihudumia kwa nauli, huo ni mzigo kama mizigo mingine tuu, usitegemee akawa na tija na msaada . Hata kama hayupo vizuri mwenye timamu ataonesha nae anaweza fanya jamboo..
 
Hakika wwe ni Mama mzungu una roho ya kizungu huyo mwamba alikua na mazingira mabovu hakutaka uyajue. Mnapatikana wapi wa hivi? Kumbe bado mpo

Sasa kwanini akubali nijee???

Kiufupii jamaa alikuwa anaishii na mwanamke sasa sijui wakati anataka tuonanee mwanamke wake hakuepo akaja ghaflaa akaamuaaa amute simu yangu
 
Ulikua unadate na mvulana,mwanaume hawezi kufanya huo ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…