Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Siku hizi situmi nauli kizembe, enzi hizo waliniotea

Experience is the best teacher
 
Dah!🤣🤣🤣kwa hiyo wewe huwa unakutana na vibaka au sio?
Sio vibaka, nakutana na baadhi ya wadada wengi ni vituko, mpaka najiuliza huyu mtu kwa tabia zake hizi, ataolewa na mwanaume wa aina gani, nimeelewa biblia inamaanisha nini inaposema mke mwema ni nani awezaye kumwona.

kwa asilimia kubwa mwanaume sahivi ukitaka kuoa, aidha uwe mcha Mungu sana, Mungu akuoneshe ubavu wako, au kama ni mtu wa kidunia inabidi ujitoe ufahamu, uwe na uwezo wa kuvumilia ujinga wa mwanamke, ujilipue, ujirushe na ujifanye mjinga, kila asemacho mwanamke, mwanaume inabidi useme sawa, ukitumia logic, miaka 40 hiyoo, huna mke wala mtoto Joannah
 
Sikuwa najua chochote kama hivyo alisema tuonane mimi nilikuwa na viakibaa vyangu vya poshoo ya uchaguzii wa Magufuli nikamfuattaa tena nikampa taarifa akasema poa njoo

Nashangaa tu nafikaa Moro mtu hapokeii simu mpk naingiaa Dar ikabidi nimtafute best angu wa Dar nikalala kwake siku mbili napiga hapokei nikageuza akakaa siku mbili akanitafutaa et ananiambia simu yake ilikuwa mbovu haiwezii kupokelekaa wala kujibu chochote daaaaaaa
Kama ni mwanaume wa morogoro kwa hilo sishangai

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
achana na level hiyo ya mapenzi. kama una date na demu ambae anakosa hata laki moja au 50 hamna kitu hapo.. sio kila mtu anapo muita mpenzi wake basi ni kumtomber , wakati mwingine ni story tu mtu ume mkumbuka mwenzako .. tafuteni hela muwe msaada kwa wapenzi wao msiwe kama virushi vya taka taka banaaa.. msione tunashida sana na kumer

Mkuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Sijamsikia mzee mwenzangu vipi wewe utanitumia nauli au nijilipie ERoni
Nilifanya hivyo ujanani mzee mwenzangu, nakumbuka miaka hiyo mtoto yupo chuo niligharamika balaa😀😀, ila uzeeni kama hivi siwezi mtumia mtu nauli.
 
Ila bwana, mapenzi kitu cha hovyo sana. Unadate na mtu yupo Mwanza wakati mji uliopo umejaa wanawake kibao, ugharamike nauli mwanza-dar wakati kitu kikiwa ubungo hapo ni mwendo wa sms moja tu ghetto linanukia unyunyu wa mtoto.
😅😅 banaa wee mademu wa mwanza watamu kuliko wa Dar.. ila uzuri mademu wa kule hawaombi, unashagaa kafika kalipia room hotel, katandika mashuka yake chumbaa kinanunikia utuli.. na msosi kaisha nunua pale kijiwe mishikaki.. na kinywaji upendachoo . sio hawa wezi wa dar hata geust ya buku 15 hawezi lipia
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwaiyo unafikiri kama wewe unakutanaga na wadada wenye kazi zao zinazowaingizia pesa unafikirii ni TZ yote wanawake wana hizo hela

Ndio maana kuna wanawake ambao wanaolewa wanatokea kwao hawana chochote zaidii ya nguo walizonunuliwa na wazazi wao
kama anatokea kwao basi umuoe kabisa, lakini kama ni hawa ambao wanajitegemea kwenye maisha anaomba nauo automatically pure ni malaya mkuu.
kwanza mwanamke anae jitambua hawezi kuomba nauli anajigharamia mwenyewe na hapo ndipo thamani yake inaonekana tofauti na yule anayeomba. ukiomba nauli manake wewe ni cheap bidhaa cheap haina thamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tofauti ua kuusafirisha kwenye nyehunge na the wings of kilimanjaro
kikubwa ufike. Muyajenge hata mkitaka hata kununua Gulfstream 650 ... ila muache kuwa matonyaaa.. unashindwa jikatie tiketi ya go and return ? alafu ukifanya hivyo sie wanaume tunakukubali sana utaona ma miamala ya kutosha maana mtu atana una akili nzuri na ya kimaendeleo.. ila sio mnaanza tu hata nauli ya KISBO inakutoa kando 😅😅
 
Wanazingua sana hawa watu.. yani wao wameishakuwa kama omba omba 😅😅
Mkuu kuna ambao kweli hawana, hawana means za kuwaingizia kipato. Bnafsi hao nawaelewa, ila mtu ana kipato na unaombwa nauli, anyway vijana muendelee kulisongesha. Nilifanya hivyo once wakati nadate mtoto niliyetaka kumuoa....haikufanikiwa!
 
Yaani acha tu 😂😂😂 alafu midume hasa ila roho inatak kule kule kilometer 78900
Ukitaka usiumize kichwa, angalia mazingira yanayofikika kirahisi. Binafsi hata kuolewa nahisi ni muhimu kuangalia, sio unaishi Kagera unaolewa na kidume kwao mbeyq, makazi yenu ni arusha...naona inakuwa ngumu sana.
 
Back
Top Bottom