Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Half american ameniambia nipuuze hizo tuhuma nawe Intelligent businessman unakazia. Shida hamna mashaidi nabaki neutral 🤭City Of Lies nakazia Half american ni NUSU ALBINOO
Zipo zote 4, sema kuua sio mchezoAisee mauwaji mengi ya wapendanao, nyuma yake huwa ni hela tu
Sasa jamaa anadaiwa hela zote hizo je angezilipaje?
Jibu ninalo ila nasubiri story ifike pale ninapopataka
Asante mkuu kunisogeza hapa
NAKAZIA NUSU ALBINOO NI Half americanHalf american ameniambia nipuuze hizo tuhuma nawe Intelligent businessman unakazia. Shida hamna mashaidi mabaki neutral 🤭
UtayakanyagaNAKAZIA NUSU ALBINOO NI Half american
Acha ibaki kuwa hivyo ila mimi sio nusu albinoHalf american ameniambia nipuuze hizo tuhuma nawe Intelligent businessman unakazia. Shida hamna mashaidi mabaki neutral 🤭
NUSu albinooooooAcha ibaki kuwa hivyo ila mimi sio nusu albino
Sawa joboNUSu albinoooooo
Shukrani broStory tamu Sana kiongozi [emoji4]
Kwa wazungu hufukuzia Sana ile bima ya kifo kwa wanandoa, Ina mzgo mrefu balaa[emoji4]Aisee mauwaji mengi ya wapendanao, nyuma yake huwa ni hela tu
Sasa jamaa anadaiwa hela zote hizo je angezilipaje?
Jibu ninalo ila nasubiri story ifike pale ninapopataka
Asante mkuu kunisogeza hapa
Uko sahihi kabisa mkuu, unaeza kuta oabda dollar 1m USD.Kwa wazungu hufukuzia Sana ile bima ya kifo kwa wanandoa, Ina mzgo mrefu balaa[emoji4]
Mbona ziko zote 4 mkuuMtoa mada mbona umeishia njiani?[emoji4]
Sasa mbona umefupisha story 😄 🤣 😂Kwa wazungu hufukuzia Sana ile bima ya kifo kwa wanandoa, Ina mzgo mrefu balaa[emoji4]
Yaani hata uwe polisi na unajua kila kitu ili wasipate kitu unapouwa lakini kuna kitu utakosea tu ndio maana wanasema There's no perfect crimeZipo zote 4, sema kuua sio mchezo
Tap, sema kuja wale Wana enda list ndefu bila kukamatwaYaani hata uwe polisi na unajua kila kitu ili wasipate kitu unapouwa lakini kuna kitu utakosea tu ndio maana wanasema There's no perfect crime
Miaka ya nyuma Jamaicans walikuwa wanaingia UK bila Visa na matukio yakawa mengi sanaTap, sema kuja wale Wana enda list ndefu bila kukamatwa
Itakuwa miwani mzeeStory nzuri ila sasa naona kama hakuna space ktk maandishi au mie miwani inanidanganya ?