Mapenzi ya Michael na Shirley Garvin, yalivyogeuka tukio la mauaji

Mapenzi ya Michael na Shirley Garvin, yalivyogeuka tukio la mauaji

Miaka ya nyuma Jamaicans walikuwa wanaingia UK bila Visa na matukio yakawa mengi sana
Yaani wajamaica wakawa wanatumika kuja kuuwa hapa na siku ya pili au ya Tatu anarudi Kingston bila kujulikana
Crimes zilizidi ndipo mwaka 2003 serikali ya Uingereza ikaamua Jamaica lazima waombe visa kabla ya kuja hapa na matukio yakapungua sana
Ila kuna mauwaji mpaka leo ni Cold cases ambazo zimelala tu
Kweli zipo kesi huwa zinakaa hata miaka 40

Haya tumalizie mkasa wetu sasa
Ushaisha bro, ziko episode 4
 
Maskari wa wenzetu, akili nyingii nguvu kiasi,
Wa kwetu sasa 😂😂🤣 ni NGUVU KULUKUNDU miguvu mingii akili kisoda, wakikamata ni mateso tu, hata kosa sio lako utakiri tu, kisha uende kupambana mahakamani.
Upelelezi ni kazi inayohitaji pesa nyingi na vifaa na vya kisasa Tz kwetu hamna uwekezaji huo ndo maana wauaji wengi wanashinda kesi mahakamani wanarudi mtaani kinacho watesa ni kukaa mahabusu muda mrefu tu anaweka kukaa hata miaka 6 mahabusu kwasababu kesi haina dhamana ila baadae anashinda kesi kwasababu ushahidi haujitoshelezi labda awepo shahidi alieshuhudia kwa macho yake ndo huyo mtuhumiwa anaweza kufungwa
 
Back
Top Bottom