Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #41
Ushaisha bro, ziko episode 4Miaka ya nyuma Jamaicans walikuwa wanaingia UK bila Visa na matukio yakawa mengi sana
Yaani wajamaica wakawa wanatumika kuja kuuwa hapa na siku ya pili au ya Tatu anarudi Kingston bila kujulikana
Crimes zilizidi ndipo mwaka 2003 serikali ya Uingereza ikaamua Jamaica lazima waombe visa kabla ya kuja hapa na matukio yakapungua sana
Ila kuna mauwaji mpaka leo ni Cold cases ambazo zimelala tu
Kweli zipo kesi huwa zinakaa hata miaka 40
Haya tumalizie mkasa wetu sasa
Hahahahahaha na uzee naoItakuwa miwani mzee
Asante sana broUshaisha bro, ziko episode 4
"Even a well planned murder can go astray" James Hadley Chase.Yaani hata uwe polisi na unajua kila kitu ili wasipate kitu unapouwa lakini kuna kitu utakosea tu ndio maana wanasema There's no perfect crime
Ume nikumbusha fundi wa maandishi huyo🤒"Even a well planned murder can go astray" James Hadley Chase.
Yap mkuu, na mpaka aseme- kazi ipoKumuunganisha serial killer na ushahidi siyo kazi rahisi maana maamuzi ya kuua hayafanyi kwa bahati mbaya ni plan
mzee mbona unapenda sana kucheka cheka ovyoHahahahahaha na uzee nao
Very true"Even a well planned murder can go astray" James Hadley Chase.
Upelelezi ni kazi inayohitaji pesa nyingi na vifaa na vya kisasa Tz kwetu hamna uwekezaji huo ndo maana wauaji wengi wanashinda kesi mahakamani wanarudi mtaani kinacho watesa ni kukaa mahabusu muda mrefu tu anaweka kukaa hata miaka 6 mahabusu kwasababu kesi haina dhamana ila baadae anashinda kesi kwasababu ushahidi haujitoshelezi labda awepo shahidi alieshuhudia kwa macho yake ndo huyo mtuhumiwa anaweza kufungwaMaskari wa wenzetu, akili nyingii nguvu kiasi,
Wa kwetu sasa 😂😂🤣 ni NGUVU KULUKUNDU miguvu mingii akili kisoda, wakikamata ni mateso tu, hata kosa sio lako utakiri tu, kisha uende kupambana mahakamani.
We mdada mambo😀
Salama kabisa, wee dada hizo avatar zako nita kuja kuku chapa😀
🤣 Kwa nini?Salama kabisa, wee dada hizo avatar zako nita kuja kuku chapa😀
SI uli nambia we kibonge, na Ume nyoa😀.🤣 Kwa nini?