Mapenzi yako wapi tena? Karudi nchini bila kuniambia kakaa kimya, kanisahau kwa makusudi

Mapenzi yako wapi tena? Karudi nchini bila kuniambia kakaa kimya, kanisahau kwa makusudi

Jiweke busy na kazi mkuu litapita , ila hata haya maswala ya kuwa na mwanamke mmoja mimi naona ni uzembe !
Mwanaume ukiwa na wanawake kidogo angalau waanzie watatu.

Usiwekeze kwenye hisia , wekeza kwenye kazi na kujijenga akiona anastahili atabaki !!

Ona sasa unakumbuka hadi vitu anavyovipenda dadeki hapa kila ukiona mtu na demu wake wamevaa jezi ya man u , we vidonda vya tumbo vinachachamaa huko ndani
Naunga mkono hoja, ila deep down sijawahi kuweka miguu yangu yote miwili kweye mahusiano kwa kuogopa hizi man down. Hii inesaidia hata akipiga simu b4 sijaingia kwenye mtihani au apige alfajiri as we’re OVER nitakua okay cz mguu mmoja ulikua standby generator 🥳🥳🥳
 
Mapaka karne hii bado unawaza mtu mwenye dharau kiasi hicho mi naweza nikasamehe usaliti ila sio dharau kutoka kwa mwanamke hata nyuma huwa sigeuki you're not my type katika wanaume na wewe unajihesabu na miongoni mwa hzo learn to stay alone for long periods it works a lot ila hii kung'ang'ania kila chaka ni hatari.
 
ila watu mnachekesha kwa hali kama hiyo kuna haja ya kuflow mistari yoote sijui ntampata wapi kama yule,basi jinyonge sasa
 
Naunga mkono hoja, ila deep down sijawahi kuweka miguu yangu yote miwili kweye mahusiano kwa kuogopa hizi man down. Hii inesaidia hata akipiga simu b4 sijaingia kwenye mtihani au apige alfajiri as we’re OVER nitakua okay cz mguu mmoja ulikua standby generator 🥳🥳🥳
Ili uishi kwa amani , hii application ni muhimu !
 
Mwaka mzima namsubiri aje lakin kaingia nchini kimya kimya bila hata kuniambia, kweli!

Mwanzon kabisa it was great. We had so much in common...we shared the same taste in everything music, movies, she loves karaokee though she’s bad at singing, she likes art and i love arts, we were the perfect combination

At first it felt like a dream you know, finding a missing puzzle piece, i felt complete, I can’t speak for her but i was happy as they come. untill when she went back to school, abroad

Ikawa Long distance sasa hapo nilikuwa najitahid relationship iwork, the time difference sikujali nilikuwa nakaa macho usiku wa manane ili tuongee

Akaniambia anakuja huu mwezi nikimuuliza lini hasemi tarehe specific anakwambia “soon tu”[emoji3064]

Nakuja kutambua kafika DSM kakaa kimya wakati tulikubaliana nimpokee anavyokuja yote hayo yakawa hayafai na nimegundua kwa kumchunguza kupitia Instagram kuona insta live anafurahia na wenzie

Nikiwasiliana nae anadanganya anasema hajafika nikamwambia kafika na nafahamu kwahiyo nimuone wapi akasema kwao zaman kahama sijui wanaishi kama Nomads bla blah!

Kifupi she’s blowing me off but i fucking love her, Nikimwambia anasema she’s not ready kukutana eti anadeal na some personal stuffs nkimwambia awe anafanya sharing nimsikilize anasema hayuko tayari

Kibaya kinachonitisha nitaipata wapi connection na mwanamke kama ile, we were “The couple” she was everything I ever wanted, tulikuwa tunaongea lugha moja she was wild and adventurous AF, I loved that about her lakin sasa nipo nipo tu

Najua kuna watu watasema Man-down, sawa ila nachowaza tu “nitampata wapi kama yule” uzuri ni kigezo ila somehow si kigezo maana wapo wengi damn it. lakini personality ndio tatizo nikikumbuka the sex

Imagine she freaking love comedy movies, anasikiliza Hip-hop anawakubali imagine dragons anaangalia animations ni shabiki wa Man u [emoji3064] and she loves nature, nilifikiri she was The one

No this ain’t over yet, our story doesn’t have to end this way... i need a freakin’ happy ending
Ukiendelea kumfukuzia kama hutajiua basi Utamuua. So kweli MAN DOWN!!
 
Mapaka karne hii bado unawaza mtu mwenye dharau kiasi hicho mi naweza nikasamehe usaliti ila sio dharau kutoka kwa mwanamke hata nyuma huwa sigeuki you're not my type katika wanaume na wewe unajihesabu na miongoni mwa hzo learn to stay alone for long periods it works a lot ila hii kung'ang'ania kila chaka ni hatari.
Kabla haujasamehe usaliti kumbuka ilitoka akairudisha ndani yeye mwenyewe
 
Mwaka mzima namsubiri aje lakin kaingia nchini kimya kimya bila hata kuniambia, kweli!

Mwanzon kabisa it was great. We had so much in common...we shared the same taste in everything music, movies, she loves karaokee though she’s bad at singing, she likes art and i love arts, we were the perfect combination

At first it felt like a dream you know, finding a missing puzzle piece, i felt complete, I can’t speak for her but i was happy as they come. untill when she went back to school, abroad

Ikawa Long distance sasa hapo nilikuwa najitahid relationship iwork, the time difference sikujali nilikuwa nakaa macho usiku wa manane ili tuongee

Akaniambia anakuja huu mwezi nikimuuliza lini hasemi tarehe specific anakwambia “soon tu”🥺

Nakuja kutambua kafika DSM kakaa kimya wakati tulikubaliana nimpokee anavyokuja yote hayo yakawa hayafai na nimegundua kwa kumchunguza kupitia Instagram kuona insta live anafurahia na wenzie

Nikiwasiliana nae anadanganya anasema hajafika nikamwambia kafika na nafahamu kwahiyo nimuone wapi akasema kwao zaman kahama sijui wanaishi kama Nomads bla blah!

Kifupi she’s blowing me off but i fucking love her, Nikimwambia anasema she’s not ready kukutana eti anadeal na some personal stuffs nkimwambia awe anafanya sharing nimsikilize anasema hayuko tayari

Kibaya kinachonitisha nitaipata wapi connection na mwanamke kama ile, we were “The couple” she was everything I ever wanted, tulikuwa tunaongea lugha moja she was wild and adventurous AF, I loved that about her lakin sasa nipo nipo tu

Najua kuna watu watasema Man-down, sawa ila nachowaza tu “nitampata wapi kama yule” uzuri ni kigezo ila somehow si kigezo maana wapo wengi damn it. lakini personality ndio tatizo nikikumbuka the sex

Imagine she freaking love comedy movies, anasikiliza Hip-hop anawakubali imagine dragons anaangalia animations ni shabiki wa Man u 🥺 and she loves nature, nilifikiri she was The one

No this ain’t over yet, our story doesn’t have to end this way... i need a freakin’ happy ending
Nimecheka kama fala, hivi na nyie wanaume mnanyanyaswa na mapenzi? Nikajuwa sisi wanawake ndo tuliumbiwa manyanyaso kha.
5yrs back nilipitia the same story. Itoshe kusema tu, pole sana.

Alipokelewa na ampendae wewe tafuta mwingine.

Note: wewe na huyo mwanamke tofauti na hayo uloyataja hapa kipi cha maana mlikuwa mkishare? Vip kiuchumi wewe na yeye vip? Umri wenu? Maslai na matarajio ya baadae?

Hii ishu ikitokea kwa mwanamke ni kawaida hatushangai na hakuna maswali ila ikitokea kwa mwanau unatupa mawazo ya kuwaza nje ta box.
 
Customary MAN DOWN MAN DOWN comment.

Wanawake wapo wengi kijana. Pitia some bodies kwanza (safely) na utamsahau tu as time goes.
 
Mapenzi kamari, ukiliwa unapotezea, ungekuwa mikoani sawa. Dar kuna mamilioni ya pisi kali zinangojea kampani yako. Huyo tayari si wako
 
Nyege nawe zimeisha zipo kwa mwingine, mpotezee
 
Mwaka mzima namsubiri aje lakin kaingia nchini kimya kimya bila hata kuniambia, kweli!

Mwanzon kabisa it was great. We had so much in common...we shared the same taste in everything music, movies, she loves karaokee though she’s bad at singing, she likes art and i love arts, we were the perfect combination

At first it felt like a dream you know, finding a missing puzzle piece, i felt complete, I can’t speak for her but i was happy as they come. untill when she went back to school, abroad

Ikawa Long distance sasa hapo nilikuwa najitahid relationship iwork, the time difference sikujali nilikuwa nakaa macho usiku wa manane ili tuongee

Akaniambia anakuja huu mwezi nikimuuliza lini hasemi tarehe specific anakwambia “soon tu”[emoji3064]

Nakuja kutambua kafika DSM kakaa kimya wakati tulikubaliana nimpokee anavyokuja yote hayo yakawa hayafai na nimegundua kwa kumchunguza kupitia Instagram kuona insta live anafurahia na wenzie

Nikiwasiliana nae anadanganya anasema hajafika nikamwambia kafika na nafahamu kwahiyo nimuone wapi akasema kwao zaman kahama sijui wanaishi kama Nomads bla blah!

Kifupi she’s blowing me off but i fucking love her, Nikimwambia anasema she’s not ready kukutana eti anadeal na some personal stuffs nkimwambia awe anafanya sharing nimsikilize anasema hayuko tayari

Kibaya kinachonitisha nitaipata wapi connection na mwanamke kama ile, we were “The couple” she was everything I ever wanted, tulikuwa tunaongea lugha moja she was wild and adventurous AF, I loved that about her lakin sasa nipo nipo tu

Najua kuna watu watasema Man-down, sawa ila nachowaza tu “nitampata wapi kama yule” uzuri ni kigezo ila somehow si kigezo maana wapo wengi damn it. lakini personality ndio tatizo nikikumbuka the sex

Imagine she freaking love comedy movies, anasikiliza Hip-hop anawakubali imagine dragons anaangalia animations ni shabiki wa Man u [emoji3064] and she loves nature, nilifikiri she was The one

No this ain’t over yet, our story doesn’t have to end this way... i need a freakin’ happy ending
Kwaujumla kijana kama huyu akishampotezea na kuwa konki au asiyejali. Haki atawaliza wadada wengi sana ila chanzo ukikijua hutaamini na jinsi alivyojitahidi kuwa mtulivu wanawake hawataamini. Ila hapo ndipo mwanaume anapoanza kubadilika maana mlimbadilisha perception yake juu ya mapenzi psychologically. Ataanza kuwa the hunter, ila chimbuko ni hapo.
 
Utakuja kufa ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huyo manzi hakutaki move on au la endelea kuona ukiumia na moyo ukikatwa katwa vipande kama mshikaki
 
Hapa watu sidhani kama wataelewa maana kumatch personality yaani ni other half of yourself ni kama umekutana na wewe mwenyewe mnafanana kila kitu kama lile song la justin timberlake "Mirrors."
Wanawake wapo wengi ila ni ngumu kukutana na mtu mnayeendana na ndio maana akitokea mmoja akakuacha unaanza kulialia sababu dhumuni sio kufanya sex tu bali kuenjoy maisha pamoja.

Anyways haya ni mambo ya Hollywood drama movies, mimi siwezi kuja kulia na kuumia kisa fiction theory inayoitwa mapenzi. Kuna mambo magumu ukipitia alafu ukaona mtu anaumia kisa mapenzi unabaki kucheka na kushangaa,
 
Back
Top Bottom