OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #141
Haaaa haaa jamaa umenichekesha sanaCan you imagine ile mwez wa 2 trh 14 , siku ya wapenda nao , nikatuma sms waapi , nikajua kalala, kuamka sikuon hat sms nikasem kwisha, kumbe yule fala karudiana na ex wake.
Bora azama mkuu, kuliko kupambana na dysfunction, k hii hapa lakini ngoma haisimami nyeto imeua misuliBaada ya siku 2 unapambana na Azuma
Kipind mmetengana na smart,hali ilikuaje?Hakiii yanauma sana love ! Hasa kwa unayemfeel deep down ya kumoyo!.The one you real love โฅ๏ธ
Apia kwa Mungu wako...Kuweni na viburi vya uzima mapenzi hayatawaumiza, ukiona mtu unaempenda kaanza kujiona chips mayai, au chips kuku wa kienyeji muwahi mkache, mlete taratibu akijaa kwenye mfumo ameisha, ukishakuwa sawa sasa yeye anaweweseka ndo na wewe unaanza kuwa chips mayai...... katika hicho kipindi ni hakuna kujibu sms wa kupokea simu hata atumie line ya ikulu, maza faki
Labda gen w, nyie wa z mnaanza mapema sana!Nyie mnawahi kwa vingi hata kupevuka kifikra ila sisi tunachelewa kidogo
Mambo yanabadilikaLabda gen w, nyie wa z mnaanza mapema sana!
Wewe na matatizo ya kiuhasibu hadi kwenye mapenzi! Haiwezekani umri huu ukawa tu na aliyekubikiriMimi sijawahi kuachwa, sina uhakika sana na uchungu wa kuachwa, lakini kupitia nyinyi nimejiridhisha kwamba mapenzi yanauma na matokeo yake ni kudhoofu afya na roho.
Pamoja na karaha zake asikwambie mtu mapenzi ni matamu sana. Utamu wa mapenzi hakuna maneno ya kutosha kuelezea. Kwa waliowahi kupenda mnaweza kurejea kumbukumbu zile nyakati za mwanzo. Kuna kale kafeeling mlikuwa mnakasikia mkiwa mmezama kwenye dimbwi zito la mapenzi.
Usiombe mkakutana wote wawili mnapendana. Hatari sana. Unaweza kuona dunia nzima hii wewe ndio mtu wa maana wengine wanapoteza muda tu. Am talking about emotions, intimacy, passion, and commitment.
Hata mkipigana show inakuwa show inayoambatana na hisia kali zisizoelezeka. Mnajikuta ni kama mpo dunia ya kwenu peke yenu. Labda mtu mwingine hapa.anaweza kuelezq vizuri zaidi.
Tatizo ni kufanya hisia hizi tamu ziendelee kuwa hai. Binadamu hawaaminiki, wako uncertain sana. Lakini kama trend ya mapenzi mazito ingekuwa maintained mpaka kufa, basi dunia ingekuwa nusu ya peponi.
Mahondaw ana hasira haswa... apia kwa Mungu wako kama hunaga huruma... ๐คฃ ๐คฃWe ulimpata Mahondaw hana hasira kwa drama nilizosoma soma humu mie ingebaki story tu kwenye maamuzi ya mahusiano sinaga huruma, kuna mmoja alijirudisha baada ya kunichunia ghafla tu km mwaka na nusu๐ ๐ nilimtimua km mbwa hakurudia tena,
Kausha... hahahaha๐!
Huyu Aliniumiza makusudikally walai huku tunakaushiana nyuma ya pazia tulikua tunachambana sio kitotooo tukitoka hapo tunabebidhana chambana bebishana mtu mmeachana ratiba zako zote za siku anazijua zake wazijua ๐๐๐คญ!
Cc Smart911
Kwani haupo kwenye dimbwi la mapenzi?hehe huu uzi!
hebu nifanye kazi za watu mie ๐๐ ๐
Kwa leo no comment. ๐Kwani haupo kwenye dimbwi la mapenzi?
Ukiwa hivyo hakuna mwanaume hapa duniani utawezana naye. Mwanaume ni mtu wa mishemishe, tunatofautiana usiri tuWe ulimpata Mahondaw hana hasira kwa drama nilizosoma soma humu mie ingebaki story tu kwenye maamuzi ya mahusiano sinaga huruma, kuna mmoja alijirudisha baada ya kunichunia ghafla tu km mwaka na nusu๐ ๐ nilimtimua km mbwa hakurudia tena,
Mbona yupo niliewezana nae, sipendi madharau,Ukiwa hivyo hakuna mwanaume hapa duniani utawezana naye. Mwanaume ni mtu wa mishemishe, tunatofautiana usiri tu
Hiki ndo kitu huwa nakiwaza yani watu bilioni kadhaa kweli kuhangaika na mutu 1 aaaiiihhh labda sijui lakini labda ni kiburi changu cha uzimaKuumia ni mara 1 tu! Kuumia kila penzi ni ujinga
Watu wote waliojaa humu duniani unamlilia mtu hadi unashindwa kula ni ugonjwa wa akili