Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Katika kitu ambacho unatakiwa kuwa na uhakika nacho kuliko kifo ni usaliti katika mahusiano, kwa dunia ya Leo ni vigumu kuwa na mahusiano yaliyonyooka Pande zote, kama sio me ni ke, cha msingi tusiyachukulie serious tutapotea mbaya. Twende taratibu.
 
Kwa Nkapa hatoki ntu!! Huu mwezi nao hamtoboi mshauanza vibaya dadeq [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ladies zamu yetu kutesa hawa viumbe, tuwapige matukio mpk mishono ya uzazi ya mama zao ifumuke kabisaaa
Wacha makasiriko[emoji23][emoji23][emoji23]
 
We mtoto uko sawa kweli?! Nimuonee wivu stranger ninayesoma tu maoni yake mtandaoni na kumrekebisha kama hayupo sahihi ingawa binadamu hatujakamilika?! Check-yourself binti
Wacha makasiriko utamkosa ndege tunduni[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Haya ndiyo madhara ya kuwa na mwanamke mmoja,ungekuwa nao wawili wala hupati jakamoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…