Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika kitu ambacho unatakiwa kuwa na uhakika nacho kuliko kifo ni usaliti katika mahusiano, kwa dunia ya Leo ni vigumu kuwa na mahusiano yaliyonyooka Pande zote, kama sio me ni ke, cha msingi tusiyachukulie serious tutapotea mbaya. Twende taratibu.Haya mambo yanaumiza sana nimegundua kwa nini usipotumia akili unaweza kuua au kujiua.
kuna binti nilimpenda sana,kuna siku alikuwa anahitaji ufafanuzi wa jambo fulani LA kiofisi nikamuunganisha na rafiki yangu ili ampe ufafanuzi.Badaye kuna siku tulikuwa wote kwa bahati mbaya nikashika simu yake nikaona wanawasiliana mara kwa mara-nikamuuliza kulikoni,akakiri huwa wanawasiliana tu kujuliana hali-niliumia sana,ingawa aliahidi ataacha na jamaa nae akikiri watasitisha mazoea.
Kwa kuwa jamaa tuko Ofisi mmoja Leo,sijui in Mungu-kwa bahati nikashika simu ya jamaa yangu nikaona SMS za binti,kwa kweli nimejisikia vibaya san.Mawazo ya kufanya jambo baya yamenijia akilini ghafla.
SahihiKitu ambacho sipendi ni kumdanganya, nakuchana ukweli...asiponipenda atembee mbele
Wacha makasiriko[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa Nkapa hatoki ntu!! Huu mwezi nao hamtoboi mshauanza vibaya dadeq [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ladies zamu yetu kutesa hawa viumbe, tuwapige matukio mpk mishono ya uzazi ya mama zao ifumuke kabisaaa
Hata wewe ulikuja kutafuta, na ukweli ni kwamba hutafuti wa kwanza.Kwa hiyo mi ndo jamvi lakudondokewa na waliopigwa chini na wapenzi wao sweetheart?
Wacha makasiriko utamkosa ndege tunduni[emoji16][emoji16][emoji16]We mtoto uko sawa kweli?! Nimuonee wivu stranger ninayesoma tu maoni yake mtandaoni na kumrekebisha kama hayupo sahihi ingawa binadamu hatujakamilika?! Check-yourself binti
Tunavumilia🤣hahaha
UPWIRU UTAUPELEKA WAPI
Self service tu kuwa mkweliTunavumilia🤣
Yani wanakuacha asubuhi asubuhi bila hata huruma 😂😂😂😂🤭Jf kuna mademu vichwa ngumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hahahaTunavumilia🤣
Aaah usinisingizie dhambi.Self service tu kuwa mkweli
Hao ni wazuri...hakuna lawama.Yani wanakuacha asubuhi asubuhi bila hata huruma 😂😂😂😂🤭
Ila bila masturbation inawezekana mbona.hahaha
ndo tunarudi kwenye ile point ya excessive masturbation
Dhambi mdomoniAaah usinisingizie dhambi.
Kila kitu kinawezekanaDhambi mdomoni
Kama weweJf kuna mademu vichwa ngumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini 😃😃🤔Hao ni wazuri...hakuna lawama.
Anayeniacha nafsi yangu haina hatia kuliko nikimuacha mimi
labda kama hujawahi kunjunjana wala kujimenya😅Ila bila masturbation inawezekana mbona.
Yote yanawezekanalabda kama hujawahi kunjunjana wala kujimenya😅