Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Haya mambo yanaumiza sana nimegundua kwa nini usipotumia akili unaweza kuua au kujiua.
kuna binti nilimpenda sana,kuna siku alikuwa anahitaji ufafanuzi wa jambo fulani LA kiofisi nikamuunganisha na rafiki yangu ili ampe ufafanuzi.Badaye kuna siku tulikuwa wote kwa bahati mbaya nikashika simu yake nikaona wanawasiliana mara kwa mara-nikamuuliza kulikoni,akakiri huwa wanawasiliana tu kujuliana hali-niliumia sana,ingawa aliahidi ataacha na jamaa nae akikiri watasitisha mazoea.

Kwa kuwa jamaa tuko Ofisi mmoja Leo,sijui in Mungu-kwa bahati nikashika simu ya jamaa yangu nikaona SMS za binti,kwa kweli nimejisikia vibaya san.Mawazo ya kufanya jambo baya yamenijia akilini ghafla.
Katika kitu ambacho unatakiwa kuwa na uhakika nacho kuliko kifo ni usaliti katika mahusiano, kwa dunia ya Leo ni vigumu kuwa na mahusiano yaliyonyooka Pande zote, kama sio me ni ke, cha msingi tusiyachukulie serious tutapotea mbaya. Twende taratibu.
 
Kwa Nkapa hatoki ntu!! Huu mwezi nao hamtoboi mshauanza vibaya dadeq [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ladies zamu yetu kutesa hawa viumbe, tuwapige matukio mpk mishono ya uzazi ya mama zao ifumuke kabisaaa
Wacha makasiriko[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya ndiyo madhara ya kuwa na mwanamke mmoja,ungekuwa nao wawili wala hupati jakamoyo
 
Back
Top Bottom