Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Tayari tayari
 
Kila cku tunawakumbusha vijana kuwa m/mke sio ndugu yko hamuelewi mnajisahau, Tembezen fimbo mtembee bila ya kuaga.

I have never trusted a woman in my life not even my blood Mother wakuu..
 
Rasta ulivyozisotea hivyo leo uzinyoe kirahisi rahisi tu, hapana

Mpe hi hiyo mrembo, wengine huku ndio wameachwa daah life is not fair🤣
rasta miaka 15 ninyoe, hapana bora niende hata njombe nikapigwe na baridi 😂

ukiachwa achika mbona watoto wazuri ni wengi sana, tatizo ni kujipa umuhimu kwenye maisha ya mtu mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…