Chilla moko
Senior Member
- May 5, 2020
- 140
- 284
Ila mi naamini maumivu yoyote unayopitia kwenye mapenzi ni kupata ukomavu na jinsi ya kuyaishiAah lazima udate mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mi naamini maumivu yoyote unayopitia kwenye mapenzi ni kupata ukomavu na jinsi ya kuyaishiAah lazima udate mbona
Mkuu dhibiti akili yako hakuna atakaekuja kuumiza labda umruhusu.Learn the art of letting go itakusaidia.Bora uumwe ugonjwa wowote maana ukipata dawa utapata relief au kupona kabisa kuliko kuumwa ugonjwa wa akili unaotokana na kuumizwa kimapenzi haswa kwa mtu uliyemuamini na kumkabidhi moyo wako na kuonesha mapenzi Yako ya dhati kwake.
Wasababishi wakuu wa hili tatizo kwa asilimia kubwa ni wanawake kutokana na tamaa zao wanawaacha wapenzi wao kisa tu hali ya kimaisha na kwenda kwa vibosile, inaumiza sana asikwambie mtu na kama huja experience basi bado hujakua au bado hujapenda.
Sasa ubaya wa hili tatizo unafanya wanaume wengi kuwa waongo waongo, kuwa walevi na kuwa wanunuzi wa "Mbususu" wachape zao wapite mbele.
Nyie wanawake dhambi ya usaliti itawatafuna mnapenda sana hela nyie kuliko mapenzi ya dhati.
sitochoka kusubiri abadan, ile ni pepo yangu hakikisha friji lako linagandisha codes zisifunguke.'ipo siku utaniona mlangoni kwako'😂
Inategemea na aina ya maumivu, mtu anayekupenda hawezi kukuumiza kijinga.Ila mi naamini maumivu yoyote unayopitia kwenye mapenzi ni kupata ukomavu na jinsi ya kuyaishi
mbona kama unanisema mimi 😂 😂 maana nimejaribu kuachana na ndoa ya wali ndondo nmeshindwaUnampenda mtu kwa moyo na akili zako zote, kumbe ye anapenda kiporo cha wali ndondo😋
Asa hapo ukiachwa utalalamika jamani
kwahiyo hau do kabisa😅 unaishije....Nishazeeka mimi totoo, mapenzi nimewaachia nyie vijana
Ushawahi kukataliwa na mtu ambaye unampenda kindakindaki?Inategemea na aina ya maumivu, mtu anayekupenda hawezi kukuumiza kijinga.
Pia mapenzi sio kitu ya kuforce, kama mtu hakutaki move on.
nakazia, unaumia bure wakati mwenzio ndio kwanza hata hawazi kama kuna wewe.Inategemea na aina ya maumivu, mtu anayekupenda hawezi kukuumiza kijinga.
Pia mapenzi sio kitu ya kuforce, kama mtu hakutaki move on.
Huo ndio tunaita uboyanakazia, unaumia bure wakati mwenzio ndio kwanza hata hawazi kama kuna wewe.
Unampenda Ila ndio hakupendi sasa, ana wake anayempenda. Huwezi forceUshawahi kukataliwa na mtu ambaye unampenda kindakindaki?
ndio wengi wanakuwaga na uboya huoHuo ndio tunaita uboya
Cha kushangaza kuna wale ambao tunawapenda hivyo hivyo bila kujali wana pesa au hawana,wana Mali au hawana,yani tunawapenda jinsi tu walivyo bila kuangalia madhaifu yao,lkn Hawa ndio wale ambao hata hawaelewe na hawathamini upendo wetu kwao,wanatuona wajinga na hatuna pa kwenda,life is not fair at allWanawake wengi wao wamejawa na tamaa ya pesa
Na wanaume wengi wao wamejawa na tamaa ya ngono
Chamsingi tafuta pesa fanya ibada ishi maisha yako.
Kuna kama maumivu flani hivi moyoni kale mpaka lake kuisha ushakuwa nundaUnampenda Ila ndio hakupendi sasa, ana wake anayempenda. Huwezi force
Kuimba kupokezanaHivi bado kuna watu mnapenda sana mpaka leo?
🤣🤣🤣 Wewe tunafananambona kama unanisema mimi 😂 😂 maana nimejaribu kuachana na ndoa ya wali ndondo nmeshindwa
Mi naamini hakuna mwili uliokosa nguo au maiti iliyokosa kuzikwa itafika muda utapata tu mtu sahihi na utajiuliza alikuwa wpi muda wote uleCha kushangaza kuna wale ambao tunawapenda hivyo hivyo bila kujali wana pesa au hawana,wana Mali au hawana,yani tunawapenda jinsi tu walivyo bila kuangalia madhaifu yao,lkn Hawa ndio wale ambao hata hawaelewe na hawathamini upendo wetu kwao,wanatuona wajinga na hatuna pa kwenda,life is not fair at all
Naishi kibishi tu hivyo hivyokwahiyo hau do kabisa😅 unaishije....