Umeongea ukwel mtupu !! Nipe namba yko nikutumie pesa ya soda ni heri ukwel unaouma kuliko uongo unaofurahishaMkikuwa mtaacha huu ujinga. Yani unateseka kisa mwanamke? Unakosa usingizi kisa mwanamke?
Hapo mnalazimisha mapenzi nyie shtukeni hampendwi mna force watu ambao wana watu wao wanaowapenda.
Nyie endeleeni kushika mapembe wenzenu wanakamua. Wakati hajibu text zako na wewe unakesha kwa kukosa usingizi mwenzako yupo huko anazungusha mauno ya shetani wala hana habari na wewe.
Thats works utakuja kitishukuru hapaNgoja nijaribu kupunguza kawasiliono naye
Hata maskini wanaachana kila jua lichomozapo.Yatakuja kumkuta yaliyomkuta BILL GATE.
Bill gatesTafuta pesa mapenzi yatajileta yenyewe.
Kafanyaje?Bill gates
Hahaha kweli mkuu. Yani unajitesa kisa mtu asiekujali. Dah hayo mambo hayatakiwi kabisa.Umeongea ukwel mtupu !! Nipe namba yko nikutumie pesa ya soda ni heri ukwel unaouma kuliko uongo unaofurahisha
TAFUTA MWANAMKE MWINGINE LAKINI KAMA HATA HELA YA VOCHA NI SHIDA ACHANA NA MAPENZI KWA SASA.. PGA NYETO TUNifanyaje sasa ndugu
Sio punguza acha !!!Ngoja nijaribu kupunguza kawasiliono naye
Huna cha obsessive love disorder wala nini....ukweli ni kuwa huna helaIla naona ni kama Nina kaugonjwa kwa obsessive love disorder ndo maana haya yananikuta
Tatizo media, filamu na stor za mtaan zinawaaribu ivo waaminkila mwanamje ili uwe nae laxima akuxungushe lazima ubembeleze lazima akuteseHahaha kweli mkuu. Yani unajitesa kisa mtu asiekujali. Dah hayo mambo hayatakiwi kabisa.
Acha wapambane na hali zao?Tatizo media, filamu na stor za mtaan zinawaaribu ivo waaminkila mwanamje ili uwe nae laxima akuxungushe lazima ubembeleze lazima akutese
Eg:benpol - moyo mashine kuna kipande anaimba " najua umenixungusha sn " anawaharibu vijana wetu