Mapenzi yaninatesa, ninayempenda anawasiliana na mimi akitaka yeye

Mapenzi yaninatesa, ninayempenda anawasiliana na mimi akitaka yeye

Mkikuwa mtaacha huu ujinga. Yani unateseka kisa mwanamke? Unakosa usingizi kisa mwanamke?

Hapo mnalazimisha mapenzi nyie shtukeni hampendwi mna force watu ambao wana watu wao wanaowapenda.

Nyie endeleeni kushika mapembe wenzenu wanakamua. Wakati hajibu text zako na wewe unakesha kwa kukosa usingizi mwenzako yupo huko anazungusha mauno ya shetani wala hana habari na wewe.
Umeongea ukwel mtupu !! Nipe namba yko nikutumie pesa ya soda ni heri ukwel unaouma kuliko uongo unaofurahisha
 
Ongea na shetani akuelekeze Cha kufanya.trust me utamsahau ndan ya muda mfupi
 
Hahaha kweli mkuu. Yani unajitesa kisa mtu asiekujali. Dah hayo mambo hayatakiwi kabisa.
Tatizo media, filamu na stor za mtaan zinawaaribu ivo waaminkila mwanamje ili uwe nae laxima akuxungushe lazima ubembeleze lazima akutese
Eg:benpol - moyo mashine kuna kipande anaimba " najua umenixungusha sn " anawaharibu vijana wetu
 
Tatizo media, filamu na stor za mtaan zinawaaribu ivo waaminkila mwanamje ili uwe nae laxima akuxungushe lazima ubembeleze lazima akutese
Eg:benpol - moyo mashine kuna kipande anaimba " najua umenixungusha sn " anawaharibu vijana wetu
Acha wapambane na hali zao?
 
Back
Top Bottom