Mapigano kati ya Israel na Palestina yalianza tangu enzi za vita kati ya Mfalme Daud Muisrael na Goliati Mfilisti (Mpalestina)

Mapigano kati ya Israel na Palestina yalianza tangu enzi za vita kati ya Mfalme Daud Muisrael na Goliati Mfilisti (Mpalestina)

Umeeandika wakati wa WWII Hitler aliangamiza Taifa la Israel ! nawakakimbia utumwani kwenye Mataifa mbalimbali! Hii Historia nani kukulisha matango pori na wewe unakula kutudanganya humu!
Miaka ya nyuma kabla ya kuzaliwa Kristo (BC) kulitokea mapigano kati ya Waisrael na Wakaanani ambao ndio wenyeji wa eneo hilo wa kabila la Wafilisti ambao ndio Wapalestina wa sasa

Waisrael walikuwa wakiaminika kuwa ni wacha Mungu na Wafilisti walidaiwa kuwa wapagani kwa wakati huo

Katika vita hiyo nabii Daudi alipambana Goliati ambaye alikuwa Mfilisti na Daudi kufanikiwa kumuua Goliati kwa kumpiga na kombeo kichwani

Inaaminika kwamba Wafilisti walikuwa ni mijitu yenye miili mikubwa hivyo Daud Muisrael alikuwa na kamwili kadogo lakini alimshinda Goliati kwa kuwa Mungu alikuwa pamoja naye na ndugu zake Waisrael

Pia kwa kuwa kwa mujibu wa maandiko ya dini Mungu aliwaahidi Waisrael kuwapa mji huo wa Kanani wa Wafilisti (Wapalestna) ndio maana kila wakati kwenye vita kati ya pande hizo mbili Wasrael ndio wanaoshinda na kuungwa mkono na mataifa makubwa ya dunia hii

Awali maandiko kwenye misahafu na maandishi ya wanazuoni wa dini vinasema kuwa wana Wa Israel walikwenda utumwani nchini Misri kwa kipindi kirefu takribani miaka elfu nne

Mungu alisikia kilio cha Israel kutokana na mateso waliokuwa wakiyapata nchini Misri baada ya ndugu yao Yusufu aliyekuwa akiaminiwa na mfalme Farao (Firauni) kufariki dunia

Hivyo Mungu akawahidi wana wa Israel kuwapa nchi ya maziwa na asali ambayo ni Kanani

Ndipo Mungu alipomuinua Musa aende kwa Farao kuwapa ruhusa watu wake Israel watoka utumwani hapo Misri ili waende kumuabudu Mungu na kumtolea sadaka kwenye nchi hiyo ya ahadi Kaanani

Firauni alikuwa mbishi kuwaachia wana wa Israel lakini mapigo aliyopigwa na Mungu hatimaye mwenyewe alisalimu amri akawapa ruhusa Waisrael watoke Misri

Aidha kutokana na Waisrael kutokuwa wavivu na kuwa watu wanafanyakazi nyingi vizuri na ngumu pale Misri na kuifanya nchi hiyo kujitegemea kwa chakula ukilinganisha na Waarabu wenyeji wa Misri

Lakini nabii Musa alimkera Mungu ndipo Mungu alipomwambia hataingia Kaanani hakika atakufa kwa hiyo Waisrael waliingizwa nchi ya ahadi ya Kanani na nabii Joshua

Waisrael walipoingia Kaanani wakauteka mji huo kwa kushinda vita dhidi ya wenyeji wa mji huo ambao ni Wafilisti (Wapalestina) na kuwafurusha na kukaa eneo hilo

Wakati wa vita kuu ya pili ya dunia Adolf Hittler alilisambaratisha Taifa la Israel na kuwaua Wayahudi wengi wale wachache waliosalia wakakimbilia uhamishoni kwenye nchi mbalimbali duniani

Ndipo kipindi hicho Wapalestina wakarejea kwenye mji wao huo wa zamani wa asili wa mababu zao wa Kanani

Baadaye kwenye miaka ya 60 Waisrael wakajiunda tena wakazaliana wakaongezeka na kudai kurejea eneo la Mahariki ya kati kwenye miji yao ya asili waliyopewa na Mungu ya Jerusalemu, Kanani na maeneo mengine ya wakiamini ndio asili yao wakitumia ramani ya kwenye kitabu chao cha dini ya Kiyahudi

Ndipo Umoja wa Mataifa wakagawa baadhi ya miji wakapewa Wapalestina na baadhi wakapewa Waisrael mfano kwenye mji mkongwe wa Jeusalemu upande wa mashariki wa mji huo wamepewa Wapalestina na magharibi wanapewa Israel lakini bado kila mmoja haridhiki na eneo alilogawiwa

Hivyo sababu hiyo ya kugombea ardhi ndio uhasama ulipo kati ya Israel na Wapalestina tangu enzi za nabii Daudi hata kabla ya Kristo mpaka zama hizi za kizazi cha kisasa cha dot com na kistaarabu bado tu hakuna uelewano kati yao

Aidha inasemekana ugomvi huu wa pande hizi mbili kati ya Israel na Palestina hauwezi kwisha mpaka MASIHI WA BWANA YESU KRISTO ATAKAPO RUDI TENA MARA YA PILI DUNIANI UKIONA UGOMVI HUO UMEISHA UJUE KIAMA KIMEKARIBIA TUTUBU DHAMBI ZETU
 
Nimekulisha matango ya mjini sio pori

Ni kweli Hitler aliwalenga zaidi Waisrael na aliwaua wakabakia takribani Waisrael milioni moja tu lengo lake ni kulifuta kabisa Taifa hilo kwenye uso wa dunia ili lengo lake la kuitawala dunia litimie

Hitler aliamini kuwa kutokana na uwezo mkubwa wa Wana wa Israel ndio wangekuwa kikwazo kwake kutimiza adhima yake hiyo that's why akaamua kuwalenga wao

Baada ya kuona hivyo Waisrael hao 1,000,000 waliobakia ndio wakaha kwenye makazi yao kukimbilia uhamshoni
 
Acha kupotosha umma wa watanzania. Wafilisti (Philistines) ni jamii nyingine kabisa ambayo iliishi katikati ya Gaza na Ashkelon. Jamii hii kwa kuwa ilikuwa Hila za kuwaangamiza Wana wa Israel, Mungu alimtumia mfalme Nebkadnezer kuwa chukua utumwani na Wengine kuwaua katika vipindi hivyo hivyo wana wa israel alipochukuliwa utumwani. Tofauti na wana wa israel ambao Mungu aliwarudisha katika nchi yao, Mungu alihakikisha Wafilisti hawarudi kwao na hivyo walipotelea huko huko utumwani Tafadhali soma Amos 1:8, Ezekiel 25:16,17 Jeremiah 47:4 and Isiah 14:29 kuhusu uangamizo wa Philistines.
Wapalestina wa sasa hivi kiukweli ni Waarabu. kuna clip nitakurushia hapa hata wenyewe baada ya kuona wenzao wanawaacha solemba kwenye hili sakata, Mpalestina huyo analamika kuwa Jamani sisi ni ndugu zenu na KAMA UTATUFUATILIA SISI WOTE TUNA ASILI YETU EGYPT, SAUDIA NA NCHI NYINGINE ZA KIARABU.
Land of Palestine neno hilo lilitumika kwa mara ya kwanza na mwandishi mgiriki akimaanisha ile nchi yote takatifu ambayo kwa wakati anatamka neno hilo nchi hiyo ilikuja mpaka huku Jordan. Warumi ( waroma) walipojenga himaya yao kwenye eneo la kusini mwa syria na eneo la Judea katika karne ya 6 CE wakaamua kuliita eneo hilo palestine. Kuhusu taifa la Palestine, hiyo ni hila ya Waislamu waarabu wakisaidiwa na KGB ya Urusi katika miaka ya 60 kuanzisha Taifa hilo na kuwabatiza Waarabu wa eneo hilo kuwa ni wapalestina ili wajenge uhalali wa kudai nchi yote ikiwa na maeneo wanayoishi wayahudi. Kiujumla nchi hiyo wala haijawahi kuwa ya Waarabu bali ilikuwa ya Wayahudi na Wafilisti
Mi nitakua nawawakea hapo wasome
 

Attachments

  • 60243D67-AA1F-4A1E-8094-F2B94719F3E6.jpeg
    60243D67-AA1F-4A1E-8094-F2B94719F3E6.jpeg
    94.6 KB · Views: 7
Palestine ni kigiriki cha neno Phillistia/Phillistine.

Hiyo nchi mwanzoni ilikuwa inaitwa Caanan. Baadae ikaitwa Israel. Wacaanan wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.

Wafilisti (wa enzi za Biblia), ni uzao wa Mizraim (ancient Egypt), na ni uzao wa Ham mtoto wa Noah.

Wafilisti wa enzi za Biblia, walihamia hapo, na walichukua eneo dogo sana la nchi ya Canaan. Waliwasogeza kidogo wacaanan, na walikuwa na miji mitano maneo ya pwani ya kusini (mji mojawapo uliitwa Gaza).

Watoto wa Ham ni watu Weusi. Ancient Egypt (Mizraim), ancient Ethiopia (Cush), ancient Libya (Phut), ancient Caanan (Tyre, Sidon, Phoenicia), walikuwa jamii za waafrika weusi na sio waarabu.

Note that alielaaniwa ni Canaan, na sio Ham.

Wapalestina wa leo ni waarabu, na sio wafilisti wa enzi za Biblia.

Waarabu ni watoto wa Shem. Wazungu ni watoto wa Japheth.

Wayahudi na waisraeli wa enzi za Biblia ni watoto wa Eber, ambaye ni uzao wa Shem.

Waarabu wa north Africa, walihamia eneo la north Africa, mainly kwenye karne ya saba na onwards (wakitokea middle east).

Sehemu kubwa ya wayahudi na waisraeli wa leo ni wazungu walioichukua dini ya kiyahudi (sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia), na wengi wao waliichukua dini ya kiyahudi zaidi ya miaka 1,000 iliyopita (na wayahudi wa leo wenye middle eastern origins, wengi wao sio wayahudi/waisraeli wa enzi za Biblia).

Dini hiyo ya kiyahudi walioichukua sio ile ya Agano la Kale pure, ni imechanganywa na mafundisho potofu mengi sana, na inapotosha na kumpinga vibaya sana Masiha wa kweli ambae ni Bwana Yesu Kristo. Dini ile ya Agano la Kale pure, ingewaleta kwa Bwana Yesu Kristo, na kwenye Agano Jipya.

Caliph Abd al-Malik ibn Marwan hakutakiwa kujenga kitu kwenye Temple mount. Ila alijenga msikiti ambapo ndani yake kuna maandishi yameandikwa ambayo yanaipinga sana Biblia.

Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.

Wayahudi wa leo wanataka kuvunja hiyo misikiti (iliyoko kwenye Temple mount), ili wajenge hekalu la kiyahudi (hekalu la tatu). Hili hekalu la tatu, sio halali kibiblia (ingawa linaungwa mkono kisirisiri na watawala wengi wa nchi za magharibi, including Jesuits na Freemasons).

Na hiyo misikiti kibiblia haitakiwi kabisa kabisa kuwa hapo.

Kunatakiwa kusiwe na jengo kwenye Temple mount.

Ancient Caanan sio nchi ya waarabu, na ancient Israel sio nchi ya waarabu. Na wapalestina wa enzi za Biblia hawakuwa waarabu.

Nadhani wajaribu kutafuta njia ya kusuluhisha huu mgogoro kwa amani, huku wakitambua historia halisi yae eneo hilo.

Na huku Afrika na Tanzania tusiache kupendana kwasababu ya huu mgogoro, ni vizuri tujue historia yake halisi.


Kuhusu historia ya huu mgogoro, soma hiki kitabu, ingawa jamaa anakosea mahali pengine:
Dark Crusade, Christian Zionism and US Foreign Policy, by Clifford A Kiracofe, Jr (Author).


Kuna hiki kingine: The Thirteenth Tribe: The Khazar Empire and its Heritage, Arthur Koestler. Ingawa na huyu nae huenda kakosea mahali pengine.
 
Kama nitakuwa sahihi,wana wa Israel hawakwenda utumwani Misri Bali utumwa uliwakuta wakiwa misri.Kuna sababu nyingi za wao kufanywa watumwa pale misri ila kubwa nikutokana na mfalme aliyekuwa anamfahamu Yusuph kufariki.

Nina swali; Ikiwa Mungu aliahidi kuwapeleka waisrael kanani(ambapo kweli aliwapeleka), alitaka wale wenyeji wa Kanani wakaishi wapi?
Na je, Mungu ni wawote?
Kweli Mungu ni wa wote lakini kwa kuwa wakazi wa Kaanani (Wafilisti) walikuwa wapagani hawamuamini Mungu ndio maana Mungu aliwawaadi Waisrael kuwapa ardhi hiyo ya Kaanani kwa masharti ya kwenda kuwapiga na kuwaua Wafilisti wote ili Wayahudi wawe ndio wenyeji wa mji huo

Kosa waliliofanya Waisrael ni kuwapenda wanawake wa Kaanani ambao walikuwa wazuri sana na kulala nao kuwaoa na kuzaa nao watoto ambao ndio hawa Wapalestina

Kwa kosa hilo la kutotii maagizo ya Mungu ndipo Mungu akasema watu hawa watasumbua sana ndicho kinachoendelea tangu enzi hizo mpaka sasa uhasama wao hauishi mpaka Yesu arudi
 
Kweli Mungu ni wa wote lakini kwa kuwa wakazi wa Kaanani (Wafilisti) walikuwa wapagani hawamuamini Mungu ndio maana Mungu aliwawaadi Waisrael kuwapa ardhi hiyo ya Kaanani kwa masharti ya kwenda kuwapiga na kuwaua Wafilisti wote ili Wayahudi wawe ndio wenyeji wa mji huo

Kosa waliliofanya Waisrael ni kuwapenda wanawake wa Kaanani ambao walikuwa wazuri sana na kulala nao kuwaoa na kuzaa nao watoto ambao ndio hawa Wapalestina

Kwa kosa hilo la kutotii maagizo ya Mungu ndipo Mungu akasema watu hawa watasumbua sana ndicho kinachoendelea tangu enzi hizo mpaka sasa uhasama wao hauishi mpaka Yesu arudi
Hapa, tofautisha kati ya Wakaanani na Wafilisti. Philistines wlikuwa maeneo kati kati ya Gaza na Eshikaloni. Wakati Wakaanani ni maeneo ya mto Jordan
 
Hapa, tofautisha kati ya Wakaanani na Wafilisti. Philistines wlikuwa maeneo kati kati ya Gaza na Eshikaloni. Wakati Wakaanani ni maeneo ya mto Jordan
Wafilifisti ndio wenyeji wa caravan hilo halina ubishi niko tayari kuoga nje kama wafilisti sio wenyeji wa mji wa Kaanani sema jingine
 
Genesis 10:6 And the sons of Ham; Cush, and Mizraim, and Phut, and Canaan.

7 And the sons of Cush; Seba, and Havilah, and Sabtah, and Raamah, and Sabtechah: and the sons of Raamah; Sheba, and Dedan.

8 And Cush begat Nimrod: he began to be a mighty one in the earth.

9 He was a mighty hunter before the LORD: wherefore it is said, Even as Nimrod the mighty hunter before the LORD.

10 And the beginning of his kingdom was Babel, and Erech, and Accad, and Calneh, in the land of Shinar.

11 Out of that land went forth Asshur, and builded Nineveh, and the city Rehoboth, and Calah,

12 And Resen between Nineveh and Calah: the same is a great city.

13 And Mizraim begat Ludim, and Anamim, and Lehabim, and Naphtuhim,

14 And Pathrusim, and Casluhim, (out of whom came Philistim,) and Caphtorim.

15 And Canaan begat Sidon his first born, and Heth,

16 And the Jebusite, and the Amorite, and the Girgasite,

17 And the Hivite, and the Arkite, and the Sinite,

18 And the Arvadite, and the Zemarite, and the Hamathite: and afterward were the families of the Canaanites spread abroad.

19 And the border of the Canaanites was from Sidon, as thou comest to Gerar, unto Gaza; as thou goest, unto Sodom, and Gomorrah, and Admah, and Zeboim, even unto Lasha.

20 These are the sons of Ham, after their families, after their tongues, in their countries, and in their nations.
 
Waliokuwa wanaugomvi tangu kwenye tumbo la mama yao ni Esau na Yakobo baadaye huko mbele ya safari ndio kinakuja kuzaliwa kizazi cha nabii Rutu ndio kinatokea kizazi cha Waisrael na Palestina
Rudia kusoma hiyo stori yako ulikochukua. Mafaili yamepandiana. Lutu ni wa enzi za Ibrahimu. Siyo wa baada ya Esau na Yakobo.
 
Back
Top Bottom