Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
[emoji3][emoji1787][emoji3]Nimeanza kupata walakini na Israel.
Israhell mwisho wataiona ghaza kama ina majini ni suala la muda tuuuuKwa kulinganisha basi ujasiri wa Hamas bado hauna mfano wake.Kidogo inaweza kuwa ni jeshi la Vietnam.
Ukraine wanapata misaada ya mapesa na silaha bora kutoka Marekani.Ni nchi imepoteza maeneo muhimu ya kiuchumi lakini bado ina mipaka mingi ya kupokelea silaha
Ama kwa Hamas katika miezi hii mitatu hakuna msaada ulioingia kwao zaidi ya dua kutoka kwa waislamu.Halafu zaidi ya hayo hata wanachokula na kunywa hakieleweki.
Wapiganaji wa ukraine kule Azovstal hatimae walitoka chini ya kiwanda cha chuma walikokuwa wamejificha na kujisalimimisha kwa jeshi la Urusi,Hicho kitu hakijaonekana kwa Hamas.Huwa hawajulikana kama wako hai au wamekufa kwenye mahandaki yao lakini anayekuja juu anatoka na bunduki kuwatafuta majeshi ya Israel
Huo ni ushujaa haujapata kutokea na si kawaida,
Kwanini walikuwa wanaomba misaada ipelekwe?Hamas hawahitajii huruma ya mtu
Kwanini wasione malaika na waone majini?Israhell mwisho wataiona ghaza kama ina majini ni suala la muda tuuuu
Wanaogopa wanaona wanaambiwa wanashinda ila field kugumuVita vikiingia mwezi wa nne Israel itakuwa na silaha lakini hakutakuwa na askari wa kupigana tena ndani ya Gaza
Walioomba msaada nani?Kwanini walikuwa wanaomba misaada ipelekwe?
Kundi sio jeshiVita ni mbinu na mikakati Leo hii kundi ambalo lilikuwa linaonekana si lolote si chochote, linamtoa jasho moja ya majeshi bora kabisa duniani.[emoji3]
Hili la Hamas linanikumbusha jinsi Wasomali walivyo wafurusha majeshi ya USA katika ardhi yao.
Kwa sababu malaika hawaonekaniKwanini wasione malaika na waone majini?
Au kwa sababu ndugu katika islamu ni majini?
Kundi la nini?Kundi sio jeshi
Wewe sema tu majini ni waislamu lazima wawasapoti waislamu wenzaoKwa sababu malaika hawaonekani
Na kwasababu majini ni viumbe kama sisi na wanaonekana kama kawaida
Heheeee wapo hapo hapo mzee tena wanakula milo mitatu na zaidi kwa siku na maji safi ya kunywaMi mpk sahv siamini Kama mateka wa Israel wapo hapo hapo Gaza,au wamevushwa[emoji848]
Intelligence ya mossad iko overrated sn Kwny movie na media kuliko uhalisia[emoji4]Heheeee wapo hapo hapo mzee tena wanakula milo mitatu na zaidi kwa siku na maji safi ya kunywa
Na kubwa kuliko hawasikii hata mlio wa mabomu yaani
Hamas wamejua kukichafua asee au ghaza itakua kubwa kama Tanzania ila tunadanganywa
Maana idf wanavyo teseka... [emoji848]
MUONGO wewe ongopea wajukuu zako hapo leta kilometres za mraba za Gaza na kilometres za mraba za Kigamboni uone unavyoumbuka, unawavesha kambaTukiacha na ushabiki hawa HAMAS wanatisha Sana sidhani kama kuna kundi lingine wanaweza KUPIGANA huku wameshikia mateka kwa zaidi ya miezi 3... kwasababu eneo ambalo wanapigana vita ni dogo sana kama wilaya ya kigamboni lkn Israel anahangaika nao mwanzo mwisho
Israel si lolote wale wamewekwa pale kwa maslahi ya USA na Uk juu ya mafuta ya Middle East, na kuwa karibu na baadhi ya nchi zisizo kubali sera zao.Nlichogundua nikwamba hamas walijipanga na vita ya muda mrefu kama walivyotangaza
Maana kwa kile walichokifanya jana nidhahiri walijua kabisa kama israhell lazima wataregesha baadhi ya wanajeshi wao waliowatoa
Kuna namna naona hamas wamegundua kwamba idf wanaudhaifu mkubwa hasa kupitia vita ya ardhini
Binafsi nategemea ghaza kuharibiwa zaidi na watu wasiokua na hatia kuzidi kupoteza maisha ila nategemea idf wanaoingia front watachinjwa zaidi
Mwisho kadri israhell inavyochukua muda mrefu bila kuimaliza hamas na kuimaliza vita yake kule ghaza inazidi kuuonesha watu hasa jirani zake kwamba israhell ni over-rated sanaaa
Mossad anapewa mchongo na nchi washiriki ๐บ๐ธ na NATO na baadhi ya waarabu wasaliti. Lakini hawana lolote kama usemavyo.Intelligence ya mossad iko overrated sn Kwny movie na media kuliko uhalisia[emoji4]
Kabisa israhell yupo pale kimkakati yaani namkakati wenyewe namba moja ni kuwashughulikia waarabu huku wanawaibia vyaoIsrael si lolote wale wamewekwa pale kwa maslahi ya USA na Uk juu ya mafuta ya Middle East, na kuwa karibu na baadhi ya nchi zisizo kubali sera zao.
Wameona hawa German wange wamaliza tu sasa wao wakaona kwanini hawa wafu watarajiwa, tusiwape kazi ya kugombana na waarabu na wao wakiwa wanaiba rasilimali zao.
Unachobisha kipi ๐MUONGO wewe ongopea wajukuu zako hapo leta kilometres za mraba za Gaza na kilometres za mraba za Kigamboni uone unavyoumbuka, unawavesha kamba
Gaza sio ndogo hivyoUnachobisha kipi ๐