Mapigano makali yaibuka mpakani na Israel. Makombora ya Hamas yatua miji ya kusini ya Israel huku makubaliano mapya kuhusu misaada ikifikiwa

Nimeanza kupata walakini na Israel.
[emoji3][emoji1787][emoji3]

Kama hujastuka tu utakua na matatizo makubwa

Israhell wana mpaka mashoga wanaoana vitani wanaume kwa wanaume unategemea nini hapa

Israhell ilikua over-rated sana ila wakawaida sanaaaaaaaa
 
Israhell mwisho wataiona ghaza kama ina majini ni suala la muda tuuuu
 
Vita ni mbinu na mikakati Leo hii kundi ambalo lilikuwa linaonekana si lolote si chochote, linamtoa jasho moja ya majeshi bora kabisa duniani.[emoji3]

Hili la Hamas linanikumbusha jinsi Wasomali walivyo wafurusha majeshi ya USA katika ardhi yao.
Kundi sio jeshi
 
Mi mpk sahv siamini Kama mateka wa Israel wapo hapo hapo Gaza,au wamevushwa[emoji848]
Heheeee wapo hapo hapo mzee tena wanakula milo mitatu na zaidi kwa siku na maji safi ya kunywa
Na kubwa kuliko hawasikii hata mlio wa mabomu yaani

Hamas wamejua kukichafua asee au ghaza itakua kubwa kama Tanzania ila tunadanganywa

Maana idf wanavyo teseka... [emoji848]
 
Intelligence ya mossad iko overrated sn Kwny movie na media kuliko uhalisia[emoji4]
 
MUONGO wewe ongopea wajukuu zako hapo leta kilometres za mraba za Gaza na kilometres za mraba za Kigamboni uone unavyoumbuka, unawavesha kamba
 
Israel si lolote wale wamewekwa pale kwa maslahi ya USA na Uk juu ya mafuta ya Middle East, na kuwa karibu na baadhi ya nchi zisizo kubali sera zao.

Wameona hawa German wange wamaliza tu sasa wao wakaona kwanini hawa wafu watarajiwa, tusiwape kazi ya kugombana na waarabu na wao wakiwa wanaiba rasilimali zao.
 
Kabisa israhell yupo pale kimkakati yaani namkakati wenyewe namba moja ni kuwashughulikia waarabu huku wanawaibia vyao

Hakuna mgogoro wowote unaotokea pale mashariki ya kati usiwe na mkono wa wazayuni wa israhell hakuna na hautakuja kutokea labda israhell isiwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ