Kwa kulinganisha basi ujasiri wa Hamas bado hauna mfano wake.Kidogo inaweza kuwa ni jeshi la Vietnam.
Ukraine wanapata misaada ya mapesa na silaha bora kutoka Marekani.Ni nchi imepoteza maeneo muhimu ya kiuchumi lakini bado ina mipaka mingi ya kupokelea silaha
Ama kwa Hamas katika miezi hii mitatu hakuna msaada ulioingia kwao zaidi ya dua kutoka kwa waislamu.Halafu zaidi ya hayo hata wanachokula na kunywa hakieleweki.
Wapiganaji wa ukraine kule Azovstal hatimae walitoka chini ya kiwanda cha chuma walikokuwa wamejificha na kujisalimimisha kwa jeshi la Urusi,Hicho kitu hakijaonekana kwa Hamas.Huwa hawajulikana kama wako hai au wamekufa kwenye mahandaki yao lakini anayekuja juu anatoka na bunduki kuwatafuta majeshi ya Israel
Huo ni ushujaa haujapata kutokea na si kawaida,