Michezaji senge. Ila binafsi lawama kuu ziende kwa uongozi. Mbwa kabisa uongozi!
Mkamfukuza uchebe. Mimi mpaka kesho nitaendelea kupinga kuondolewa uchebe.
Shida ya kumsikiliza Haji manara. Uchebe alimwambia Mo aache kuwasiliza watu wasiokuwa na shule. Kama Haji.
Kama ulilomwagiwa mgogoniJamani ni dkk ya ngapi huko..
Yaan nitafurahi sana hawa mikia wakimwagiwa bao zitozito Leo..
Ila naamini Mtibwa hawajaniangusha, wamemwagia ndani mazima