Feisali ni mjadala wa msimu, hili la kina kyombo ni la masaa tuMkisha maliza kuwajadili na kuwalaumu wakina Kibu, Kiyombo na wenzake,endeleni kudiscuss mkataba wa Fei pale mlipo ishia.
Leo mi nilikuwa MlandegeHivi wamewaangusha chali ama mlipiga magoti π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
CC: Ngalikihinja
Wenye akili ni wawili tuu pale UtopwinyoFeisali ni mjadala wa msimu, hili la kina kyombo ni la masaa tu
Sasa hivi utasikia wale wazee wa Yanga wametoa tamko
Yani wale wazee wa Yanga mi sina imani nao kama watasubiria process za kisheria
Wale kila nikiwaangalia naona uvumilivu huo hawana, wao wanaona suluhu ni mgomo na kuandamana kwa Mama
Kimetumika kichwa kimoja baada ya mwenye kichwa kuona uwazi usio na kinga, akaingiza hapo hapoHivi wamewaangusha chali ama mlipiga magoti π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
CC: Ngalikihinja
Na bado siku utakuwa Mwananchi kamili, YANGA timu makini, timu isiyoliwa na wala urojo ππππLeo mi nilikuwa Mlandege
unamsema OKW BOBAN SUNZU hMi naona Mgunda kafanya jambo zuri ili wale waliokuwa wanamfikiria Kibu ni mchezaji bora ila hapewi tu nafasi wajionee
Mkataba Fei kidogo unawaliwaza endeleeni mlipo ishia,ila mnakazi na timu yenu, huyo kocha atakaye ichukua timu na muonea huruma mashabiki wa Simba na Yanga huwaga hawajui uvumilivu. Wanataka kocha mpya akija akiwashe mda huo huo.Feisali ni mjadala wa msimu, hili la kina kyombo ni la masaa tu
Sasa hivi utasikia wale wazee wa Yanga wametoa tamko
Yani wale wazee wa Yanga mi sina imani nao kama watasubiria process za kisheria
Wale kila nikiwaangalia naona uvumilivu huo hawana, wao wanaona suluhu ni mgomo na kuandamana kwa Mama
Mwenzio Scars leo alikuwa mlandege, vipi wewe hukuhamia huko kuogopa kuliwa?Wenye akili ni wawili tuu pale Utopwinyo
DuhLeo mi nilikuwa Mlandege
Na wala si mbali pale bwana Scars atakapohamia YANGANa bado siku utakuwa Mwananchi kamili, YANGA timu makini, timu isiyoliwa na wala urojo ππππ
Mambo magumu
Mimi Leo pia Nilikiwa Mlandege.....Nimewalaumu sana ilipaswa watufunge Goli tatu...mlandege hamna timu paleMwenzio Scars leo alikuwa mlandege, vipi wewe hukuhamia huko kuogopa kuliwa?
Aaaah umenikosea heshima sana yani niwe nije Yanga ili niwe miongoni mwa watu wasio na akili?Na bado siku utakuwa Mwananchi kamili, YANGA timu makini, timu isiyoliwa na wala urojo ππππ
Ngojeni tu, mtakuja kuhamia YangaMimi Leo pia Nilikiwa Mlandege.....Nimewalaumu sana ilipaswa watufunge Goli tatu...mlandege hamna timu pale
Ila niwe mkweli kwenye ishu ya sakata la Feisali wanaonifanya niinjoy ni wale wazee wa YangaMkataba Fei kidogo unawaliwaza endeleeni mlipo ishia,ila mnakazi na timu yenu, huyo kocha atakaye ichukua timu na muonea huruma mashabiki wa Simba na Yanga huwaga hawajui uvumilivu. Wanataka kocha mpya akija akiwashe mda huo huo.
Atajulia wapi! Labda umjuzeUnajua Lengo La Club za Bara Kushiriki Hii Michuano?
Una enjoy mpaka maumivu ya mechi ya leo huyasikii kabisa.Endeleeni kujiliwaza na mkataba wa Fei.Ila niwe mkweli kwenye ishu ya sakata la Feisali wanaonifanya niinjoy ni wale wazew wa Yanga
Wazee wa Yanga kwangu ndio man of the match kwenye hii ishu