We fanya uchunguzi mdogo angalia kama utaona kuna mwana Simba yeyote ameumizwa na matokeo ya leoUna enjoy mpaka maumivu ya mechi ya leo huyasikii kabisa.Endeleeni kujiliwaza na mkataba wa Fei.
Eti Fei Toto amepata timu Ulaya!! 😃 Kwa nini asiwe Kibu Dennis!!Una enjoy mpaka maumivu ya mechi ya leo huyasikii kabisa.Endeleeni kujiliwaza na mkataba wa Fei.
Ulimuonaje?Ngoja nimtizame vizuri huyu okwa, muda mchache niliowahi kumuona nilikiri ni mchezaji mzuri, ila nashangaa akawa anakaa benchi.
Sasa leo nijue yamo ama hakuna kitu.
Badala ushukuru unakuja timu makini. Ambayo daima ni mbele, kuliko mkia ona mnaliwa hadi na wala urojo...Aaaah umenikosea heshima sana yani niwe nije Yanga ili niwe miongoni mwa watu wasio na akili?
Labda mnihakikishie kuwa wenye akili tutakuwa watatu
Msisahau na nyie mlivyoliwa kichwa huko na hao hao mwaka jana mkarudi mmegeuza ndalaBadala ushukuru unakuja timu makini. Ambayo daima ni mbele, kuliko mkia ona mnaliwa hadi na wala urojo...
Kina Amii wanawasalimia huko...
Yanga ndo kitu gani hikoIla simba wajanja sana. Wameogopa kukutana na Yanga. Yaani timu akikosekana Chama, inapoteana!
Vita ni vita Muraa...Mashabiki bwana, yaani bonanza mnachukulia serious kiasi hiki. Binafsi hata ingekuwa ndio Yanga kaweka kikosi dhaifu halafu hata goli nane nisingechukia wala kulalamika. Sioni mantiki ya hii michuano
Timu makini haiwezi kuwa na wazee kama waleBadala ushukuru unakuja timu makini. Ambayo daima ni mbele, kuliko mkia ona mnaliwa hadi na wala urojo...
Kina Amii wanawasalimia huko...
Wale ni kunguru si unajua walivyowasumbufu ukiwafukuza ukigeuka wamekuchukulia nyama... 😀 😀
Wanasemaga waache waseme, usiku watalala... Sasa usiku wenyewe ndiyo huu hatulali Mlaurojo kitoweo ilikuwa mkia 🤣🤣🤣🤣Msisahau na nyie mlivyoliwa kichwa huko na hao hao mwaka jana mkarudi mmegeuza ndala
Na mkia una supu ya hatariii ....Wanasemaga waache waseme, usiku watalala... Sasa usiku wenyewe ndiyo huu hatulali Mlaurojo kitoweo ilikuwa mkia 🤣🤣🤣🤣
Alitolewa na azam kwa matuta sio hao wala urojo.Msisahau na nyie mlivyoliwa kichwa huko na hao hao mwaka jana mkarudi mmegeuza ndala
Osieee tatea...Full time Mlandege 0 simba 1.
Sorry nimechanganya madesa.
Mlandege 1 simba 0.
Kama hawakuliwekea kipaumbele mmepoteza muda wa nini na Kwanini mpeleke timu??.Hivi we kwa utashi wako unaona hili kombe Simba imeliwekea kipaumbele?