Mapinduzi Cup: Simba 0-1 Mlandege

Msisahau na nyie mlivyoliwa kichwa huko na hao hao mwaka jana mkarudi mmegeuza ndala
Kuweka kumbukumbu sawa; Mwaka jana Yanga ilitolewa kwenye nusu fainali na Azam! Yena kwa mikwaju ya penati 8 kwa 9.

Labda uongelee miaka ya hapo kati tulipokuwa tunapeleka kikosi cha U20.
 
Hicho ni kikosi B, kinatakiwa kioneshe uhai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…