Mapinduzi Cup: Simba 0-1 Mlandege

Mapinduzi Cup: Simba 0-1 Mlandege

Tulifanya makosa sana kuwapa jezi zetu wazitumie kuchezea hii mechi

Ona sasa kila mtu anasema Simba imefungwa ilihali wote ukweli unajualikana kuwa leo Simba haijacheza
 
Amna namna tifu tifu wafanye simba iendelee kuepo [emoji81][emoji81][emoji81]


Wali sikika walevi wa mkiani
 
Mapinduzi hayakamiliki bila simba kufungwa. Mlandege leo kala simba.. Hongereni Mlandege kwa kukubali bahasha ili muwakamie makolo
Kwa kikosi gani nilichokiona?

Kile kile cha kina Kambale ambaye haeleweki hata fitness level yake iko vipi?
 
Back
Top Bottom