wabara
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,500
- 706
si umesema Pasco kaukimbia uzi,mjibie kama unajua nataka kweli kujua
Yule anaukimbia si kwa maana ati hasomi Posts la..! asoma ila utetezi juu ya kile akiaminicho ndo haezi,
Ukinitaka ushaahidi, tizama mwanzo hadi sasa katika hiyo Post yako utaona LIKE(S) yake,
Akuchanganya na kukugeiya shida weye, sie afahamu ni namna gani apewa dawa na isitoshe kupitia dawa hizi akawa aokotelezakoteleza ili naye ati aandike Historia nyangine kwa lengo apate kula pitia mawazo ya wangine.
Last edited by a moderator:
















