Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Waarabu waliacha kuwaua waislamu wa dafur baada ya jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua na kutangaza Omar El-bashar akamatwe. Waliogopa sio kwamba waliacha kwa sababu wao ni waislamu. Halafu muone kwanza mimi sikutetea wakristo kwamba hawauani. nilichokupinga ni kutaka waarabu wasihusishwe na maovu eti kwa vile ni waislamu. Fikiri kwa kutumia akili na sio ..*£4"@..!!
 
Haya bwana. siku hizi wala siendelezi mijadala kama hii. Umeshinda. duh, Mzungu alikuwa akinunua watumwa zanzibar!! Maajab haya.

Maajabu? Someni, tafuteni!! Sio mlishwe tu Halelujah mkaitikia «Emen»

Wazungu mpaka.walitumia Sayansi kuwafanya waafrika watumwa!

Bristol and Transatlantiska
Mawazo ya ubaguzi wa rangi

Kadiri biashara ya watumwa ilivyoendelea, Wazungu walianzisha itikadi ya ubaguzi wa rangi ambayo inaweza kutumika kuhalalisha hiyo biashara. Waafrika walikuwa walidhaniwa kuwa daraja la chini ya binadamu, wasio na ustaarabu, na watu duni mbele ya Wazungu katika kila hali. Na kuwa wao watu weusi walikuwa yaani 'si miongoni mwao' (wakisema "not one of us"), walikuwa ni kama bidhaa wanaweza kununuliwa na kuuzwa. Maendeleo ya ubaguzi wa rangi yanahusishwa na biashara ya watumwa.

Biashara ya watumwa isingaliendela bila ya itikadi hii kutumika ili kuihalalisha.

Ubaguzi wa rangi hauwezi kupuuzwa katika utafiti wowote biashara ya utumwa.

Wa Anglikana kwao rangi nyeusi ilishabihishwa na mauti na uovu kwa karne na dahari, kabla ya kukutana watu wowote weusi. Hivyo muonyo wao wa kwanza kwa watu wenye ngozi nyeusi ilikuwa kudhani kwamba walikuwa baadhi aina ya shetani au mnyama wa kutisha. Kutokana na dhana hii mbovu, na kutokana na hadithi za wasafiri, ukazuka ubaguzi wa wa-Afrika, kama washenzi, kuwa ni wepesi kwa mifadhaiko ya ngono, wavivu, wasioaminika na walaji nyama ya watu (cannibalistic). Kulikuwa na watu wachache ambao walipinga mtazamo huu wa kibaguzi. Richard Ligon, katika kitabu Chake Historia ya Kweli na Halisi ya Kisiwa cha Barbados, kilicho chapishwa katika 1657, aliandika dhidi ya dhana hiyo mashuhuri. Yeye aliamini 'kwamba walikuwa waaminifu, wenye imani (faithfull) na miongoni mwao kuna watu wenye utambuzi, kama miongoni mwa wale wa Ulaya.

Na kutoka mwaka 1600, na maendeleo ya kisayansi kuzidi katika Ulaya, ubaguzi wa rangi nao 'ulithibitishwa' (kuhalalishwa) kisayansi. Wanasayansi na wana falsafa kama David Hume alidiriki kusema ya kuwa Waafrika walikuwa 'kijinsia ni watu duni kwa wazungu'. Iliaminika zaidi kwamba Waafrika na Wazungu walikuwa na Maendeleo tofauti.
Wengi, kama Sir Thomas Herbert, kuandika katika 1634, waliamini kuwa Waafrika lazima wanahusiana na nyani na walikuwa tofauti na ni kabila duni. Hii ilikuwa muda mrefu kabla nadharia ya Charles Darwin ya Mageuzi (Evolution), ambayo ilionyesha kuwa binadamu wote asili yao ni moja (Nyani). Katika kipindi cha karne ya 18 na 19, watu wengi weupe walipiga kampeni kwa ajili ya kusitisha biashara ya watumwa na Uhuru wa watumwa. Lakini ni watu weupe wachache tu waliamini katika usawa watu wote, kwamba ni usawa kati ya Jamii ya weusi na weupe.

Katika karne ya 19, itikadi ya ubaguzi wa rangi ilipewa nguvu sayansi 'fake' kama hii phrenology. Iliaminika kwamba sura na umbo la fuvu ndio linaashiria tabia ya mtu. Phrenologists walitumia nadharia yao juu fuvu la Mwafrika na kujumuisha Waafrika Wote kama ni Duni kwa Jamii nyeupe kielimu, kiutamaduni na kimaadili. Phrenology ilionyesha Waafrika kuwa unsuited kufanya Kazi Nyingine Zaidi ya kwamba inasimamiwa na watu weupe. Katika Mawazo ya wengi wao, hii iliwapa haki ya kuwafanya Waafrika kuwa watumwa.

Utafiti wa teleology unalenga katika Ubunifu Asilia (design in nature). Hii iliwapa wazungu haki ya kusema kuwa Waafrika walikuwa, kiasili, wanafaa kwa kufanya Kazi za nguvu lakini si za kufikiri na za ujuzi. Walikuwa, wameumbwa kuwatumikia watu weupe. "Negro kama (wanavyowaita) kwa ujumla alizaliwa awe Mtumwa" aliandika Sir Harry Johnston, Mkoloni wa Kiingereza katika Afrika katika miaka ya 1890.

Anthropology, utafiti wa watu, katika mambo mengine ulikita katika uchunguzi wa ukubwa wa ubongo na maumbile ya kimwili ya watu. Anthropologists nao walithubutu kuhitimisha kwamba wa Afrika walikuwa ni watu Duni kuliko Wazungu, Aina tofauti ya watu yenye ukaribu zaidi kuhusiana nyani kuliko wazungu.

Naturalist wa Kiingereza, Charles Darwin, akaanzisha ya nadharia ya Mageuzi [Evolution] Nadharia yake alipendekeza kuwa Wazungu walikuwa wanahusiana na Waafrika na kwamba binadamu Wote walikuwa wanahusiana na nyani. Wakati hii ilitoa kero kwa ile anthropological theory kuhusu aina tofauti na anwaa za maumbile, Mambo mengine ya nadharia ya mabadiliko bado 'yalithibitisha' ubora wa Jamii nyeupe Juu ya Jamii za wengine Wote. Nadharia yake aliona kuwa Anglo-Saxon, yaani, British, wako daraja ya juu katika kipimo cha mabadiliko [Evolutionary Scale]. Yaani Waingereza walikuwa Juu ya Mti wa Familia ya Wanadamu, zaidi 'kistaarabu' [Most Civilized Race]. Wafrika, as 'primitive' race, wailionekana kuwa kama watoto wachanga na unintelligent. Jamii 'Duni' waliokuwa wamepotea aidha ili watawaliwe au kuangamizwa na Jamii 'Bora' (Weupe). Maisha ya Mwenye Nguvu Mpishe (Survival of fittest theory) ilikuwa ni sheria katika nadharia ya Darwin ya Mageuzi.

Imani katika Ubwanyenye wa Jamii ya watu Weupe Uingereza na Ulaya ndio ulihuisha upanuzi wa himaya (Empire). Himaya ya Uingereza iliongezeka wa Kutoka Wazo 'kwamba Uingereza walikuwa Kabila Bora la Utawala wa Dunia', maoni yaliyotolewa na Cecil Rhodes, mtawala wa kikoloni ambaye alianzisha koloni ya Uingereza ya Rhodesia, katika Afrika kusini ya Equator (Sasa Zimbabwe).

Hizi nadharia za 'kisayansi' nadharia za uduni wa Muafrika kwa ujumla ulikubalika na wananchi wa Uingereza. Ubaguzi wa rangi ilikuwa kuchukuliwa kirahisi kama jambo la kawaida. Kwa mfano, vitabu vya GA Henty vilikuwa vikionekana kama vya umuhimu mkubwa kwa ajili wavulana. Kitabu chake "By Sheer Pluck": Hadithi ya Vita vya Ashanti kiliandikwa Mwaka 1884 na pengine bado kinapatikana katika Maktaba za SHULE Hadi katikati ya karne ya 20 wavulana wanasoma hicho hujifunza kuwa watu weusi ni KAMA Watoto tu. Wao Siku zote ama wanacheka tu au kufanya kugombana. Wao naturally ni wazuri wenye shauku (passionate), goigoi, lakini wenye juhudi ya kazi ngumu kwa muda tu; wajanja hadi hatua fulani, wajinga sana kupita maelezo... Wao hawana uhalisi, kabisa hawana uwezo wa Uvumbuzi (they are absolutely without originality, absolutely without inventive power)

Watu weusi wanaoishi nchini Uingereza, pamoja na wale wanaoishi katika nchi zao wenyewe Chini ya tawala za Ukoloni wa Ulaya, walikuwa lazima wakabiliane na ubaguzi huu. Ubaguzi wa rangi imekuwa ni kitovu cha mazoea kwa watu weusi katika Uingereza, kwa karne nyingi zilizopita.

Makala-Kwa hisani ya Peter Fryer na uchunguzi Juu ya Historia ya watu weusi nchini Uingereza katika kitabu chake "Staying in Power" (Kubaki Madarakani)
 
Je umewahi kumsilia Kanali Ali Mahfoudh?
Je unajuwa kama Nyerere alisema kuwa Uasi ule wa Jeshi ulipangwa Zanzibar?
Je unajuwa kuwa kauli ya Nyerere kusema "In the near future Zanzibar is going to be a big headache to us, I wish I could tow away that Island to the middle of the Indian Ocean" (hakusema those Islands) sababu ni kuwa Waafrika waliokuweko Zanzibar ndio waliopanga mipango ya kumwangusha 1962? Na Kambona na Hanga ndio alikuwa his main suspects na fates zao zimeishia wapi?

Je mnajuwa kuwa alomkimbiza Nyerere na kumficha nyumbani kwake shamba ni Mwarabu?

Mkuu huu mpini wako nimeusoma lakini Pasco anajitoa ufahamu, laiti angeacha ushabiki na kulishwa matango pori na watu wachache wenye kupindisha historia halisi na chuki zao dhidi ya Wazanzibar.
 
Hakuna Baba wa Taifa hata mmoja. Hizo dhana za Ukomunisti ziko huko huko ukafirini. Uongozi ni dhamana. Hakuna mtu hata mmoja atakaenambia baba yangu ni Mkuu wa Nchi ni Baba yangu au baba wa watu wote wa nchi. BABA YANGU NI YULE ALIENIAMBIA MAMA YANGU HUYU HAPA BABA YAKO![/QUOTE]
kama ulikua unakesha madrasa ni ngumu sana kuelewa. na hapo kweny red cjui ulikusudia kumaanisha nini?
zaidi ya yote jiulize kwanini afrika ya kusini wilimuiata hayati Nelson Mandela, TATA MADIBA.
 
Wanabodi,

Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.

Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.

Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.

Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!.

Pasco.
Nenda kawaeleze hilo vingozi wa Zanzibar kama utatia mguu tena Zanzibar ,walimfukuza shekh kurwa na Muisilamu mwenziwao ,seuze weye mzee kazi haiko kama haiko basi ,na kuhusu warabu ningekusaidia akili kuna video angalia jinsi walivyokuwa wakikatwa kwa mapanga na kukimbilia baharini sasa anatokea mtu kwa waga wake au kutokana na hali ya maisha anakwambia warabu hawakufukuzwa na wewe unalikubali hilo kwanini imezungumzwa ndani ya BBC .zanzibar 1964
 
Haya bwana. siku hizi wala siendelezi mijadala kama hii. Umeshinda. duh, Mzungu alikuwa akinunua watumwa zanzibar!! Maajab haya.
kweli ajabu kama hutaki kusoma na kutumia akili yako...

mtumwa wa kiafrika huko ujiji kambeba master wake
mzungu.jpeg

mzungu akiwa amebebwa na mwafrika na huku kavaliswa pembe za ngombe...

mzunguu.jpeg
 
Kwa hiyo sultani qaboos ni muafrika?

Nielimisheni. Hivi kuwa mwafrika ni nini? Ni rangi ngozi, aina ya nywele, utamaduni wake au kuishi katika bara hilo la Afrika?Je kuna uraia wa afrika?Na ni upi utamaduni wa mwafika?Kama ni rangi ya ngozi, je rangi ya ngozi ya mwafika ni ipi?Kama ni nywele, mwafrika ana nywele za aina gani? Na kama ni utamaduni, ni upi utamaduni unaomuunganisha mnigeria na Mtanzania?Je nikiukana uraia wangu na kupata uraia wa Marekani nabaki kuwa mwafrika?Tusije kuwa tunabeba fikra tusizojua maana yake ni nini?
images.jpg
Barack-Obama-460_798291c.jpg
 
There is/are none in what you mentioned, in contrast, and as I construed before, there is more similarities between Allah, Arab and Islam.

In fact, the religion of peace is for Arabs and not otherwise.

And your so called HOLY FAITH IS SOO PEACEFULL IN IT! ?

Explain this miss paster! The muchungwaji tapeli wa kimataifa!

What the Bible says about Non-Christians

They are without God.

"Whosoever ... abideth not in the doctrine of Christ, hath not God." ---2 John 9

THE ARE ALL ANTICHRIST.

"For many deceivers are entered into the world, who confess not that Jesus Christ is come in the flesh. This is a deceiver and an antichrist." ---2 John 7

They should be shunned. Neither marry nor be friends with them.

"Be ye not unequally yoked together with unbelievers: for what fellowship hath righteousness with unrighteousness? and what communion hath light with darkness? And what concord hath Christ with Belial? or what part hath he that believeth with an infidel? ... Wherefore come out from among them, and be ye separate, saith the Lord." ---2 Cor.6:14-17

THEY SHOULD BE KILLED.

"If thy brother, the son of thy mother, or thy son, or thy daughter, or the wife of thy bosom, or thy friend, which is as thine own soul, entice thee secretly, saying, Let us go and serve other gods, which thou hast not known, thou, nor thy fathers; Namely, of the gods of the people which are round about you ... Thou shalt not consent unto him, nor hearken unto him; neither shall thine eye pity him, neither shalt thou spare, neither shalt thou conceal him: But thou shalt surely kill him; thine hand shall be first upon him to put him to death, and afterwards the hand of all the people. And thou shalt stone him with stones, that he die." ---Dt.13:6-10

Miss paster a.k.a MaxShimba you can change your pants as much as you like but the smell frm your. .. is the same!

Cc Gavana
 
Last edited by a moderator:
Hivi wale watumwa wengi waliochukuliwa uarabuni waliishia wepi.ningefurahi kuona ndugu wetu hao kama ilivyo kwa waliotoka afrika magharibi wanavyoonekana marekani

Hivi hujui kama waarabu walikua ni mawakala tu? Wenye mali ni wazungu, soma vitabu au ulizia wana historia
 
Mkuu Pasco

Tahadhali tujadiliane kwa hoja sababu haukawii kuita watu mainzi, njoo na ushahidi wako wa hayo Mapinduzi Matukufu na wengine waje na ushahidi wao kama Mapinduzi yalikuwa ni mauaji ya kimbari.
Ni matukufu kwa walioshinda.Na walioshindwa ni kama hivyo unavyosema kuwa ni mauwaji ya kimbari.
 
Hivi hujui kama waarabu walikua ni mawakala tu? Wenye mali ni wazungu, soma vitabu au ulizia wana historia

Mkuu manumbu1 tatizo hapa unamueleza mtu anaeabudu mungu mzungu!
Hayo ndio matatizo.! Kukuelewa ni mpaka AONDOE fikra zile za kudhani mungu ni mzungu.
 
Last edited by a moderator:
Yeah, Yesu ni MUNGU, lakini wa kweli, sio kama allah
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..


Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.


Je, ni nani huyu aliye umba Kiume na Kike ambaye Allah wa Islam anaapa kwake? Endelea kusoma...kutoka Biblia Takatifu….


Yeremia 27: 5 Mimi nimeiumba dunia hii, wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo.


Sasa tunamsoma Yehovah ambaye ni Mungu wa Biblia kuwa yeye ndie aliye umba kila kitu, pamoja na Kiume na Kike ambacho Allah wa Islam anaapa kwake. Kwahiyo, Jehovah aliumba kiume na kike, na Allah wa Islam anaapa kwake, sasa jaza mwenyewe nani ni Mungu?
 
And your so called HOLY FAITH IS SOO PEACEFULL IN IT! ?

Explain this miss paster! The muchungwaji tapeli wa kimataifa!

What the Bible says about Non-Christians

They are without God.
SASA KAMA HAJUI ATAFANYWA NINI MNAMFUATA WA NINI?
(SURA 46:9 SURAT AL AH'QAAF)
Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi SI CHOCHOTE ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.

HII HAIKUBALIKI,MTUME KUFUMANIWA?
Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)

ALIKUWA MBORA WA VIUMBE KWA LIPI?

YESU MWANA WA MUNGU ALISEMA,
(Yohana 8:24)-Kwa sababu msiposadiki ya kuwa mimi ndiye,mtakufa katika dhambi zenu.

SIKILIZA MAJIBU YA JEURI YA MUHAMAAD(SAW)!
Quran 52:31 Sema: Ngojeeni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika Wangojeao, (sifi mimi tu peke yangu, nanyi mtakufa Vile vile)....

KABLA YA KUFA ALISEMA,
Mtume s.a kasema,Enyi watu moto unawangojea wabaya,(Kitabu cha maisha ya Mtume,uk.80 na Sheikh A.Farsy)

YESU ANARUDIA MANENO YAKE, MSIPOMWAMINI YESU KUWA NI MWANA WA MUNGU MTAKUFA KWELI!





 
SASA KAMA HAJUI ATAFANYWA NINI MNAMFUATA WA NINI?YESU ANARUDIA MANENO YAKE, MSIPOMWAMINI YESU KUWA NI MWANA WA MUNGU MTAKUFA KWELI!




mimi napenda kumfuata mungu yesu aliyeamua kujiua kwa ajili yangu!
lkn napata tabu sana kumkubali kutokana na YEYE KURUHUSU WATOTO WADOGO KUBAKWA!

Hapa tunajifunza kuwa wakati ule wa AGANO LA KALE
wakati mungu yesu anaitwa YHWH aliwaamrisha wayahudi KUUA NA KUBAKA!

ANDIKO HILI HAPA!

HESABU 31 1-18

31.2 Walipize kisasi wana wa Israeli juu ya Wamidiani; kisha baadaye utakusanywa uwe pamoja na watu wako.
31.3 Basi Musa akanena na watu, na kuwaambia, Wavikeni silaha watu miongoni mwenu waende vitani, ili waende kupigana na Midiani, wapate kumlipiza kisasi Bwana, juu ya Midiani.
31.4 Katika kila kabila mtatoa watu elfu, katika kabila zote za Israeli, nanyi mtawapeleka waende vitani.
31.5 Basi walitolewa katika maelfu ya Israeli, elfu moja ya kila kabila, watu waume kumi na mbili elfu walioandaliwa kwa vita.
31.6 Basi Musa akawapeleka, watu elfu wa kila kabila waende vitani, wao na Finehasi mwana wa Eleazari kuhani, waende vitani, na vile vyombo vya mahali patakatifu, na hizo tarumbeta za kupiga sauti za kugutusha mkononi mwake.
31.7 Nao wakapigana na Midiani kama Bwana alivyomwagiza Musa; nao wakamwua kila mume.
31.8 Nao wafalme wa Midiani wakawaua pamoja na watu wengine waliouawa; Evi, na Rekemu, na Suri, na Huri, na Reba, hao wafalme watano wa Midiani; Balaamu mwana wa Beori naye wakamwua kwa upanga.
31.9 Wana wa Israeli wakawachukua mateka wanawake wa Midiani na watoto wao; na ng'ombe zao wote, na kondoo zao wote, na mali zao zote, wakachukua nyara.
31.10 Na miji yao yote, kila mahali walipokuwa wakikaa, na marago yao yote wakayateketeza kwa moto.
31.11 Nao wakatwaa hizo nyara zote, na mateka yote, ya wanadamu na ya wanyama.
31.12 Nao wakawaleta mateka ya wanadamu, na mateka ya wanyama, na hizo nyara, na kuyaweka mbele ya Musa, na mbele ya Eleazari kuhani, na mbele ya mkutano wa wana wa Israeli, hapo maragoni katika nchi tambarare za Moabu, zilizo karibu na Yordani hapo Yeriko.
31.13 Basi Musa, na Eleazari kuhani, na wakuu wote wa huo mkutano, wakatoka nje kwenda kuwalaki nje ya marago.
31.14 Musa akawakasirikia majemadari wa jeshi, na hao maakida wa elfu elfu, na wakuu wa mia mia, hao waliorudi kutoka katika kupiga vita.
31.15 Musa akawauliza, Je! Mmewaponya wanawake wote hai?
31.16 Tazama, hawa ndio waliowakosesha wana wa Israeli, kwa shauri la Balaamu, wamfanyie Bwana dhambi katika hilo jambo la Peori, na kwa hivyo pigo lilikuwa katika mkutano wa Bwana.
31.17 Basi kwa ajili hiyo mwueni kila mume katika hao watoto, na kila mwanamke aliyemjua mume kwa kulala pamoja naye.
31.18 Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.




NADHANI BWANA MCHUNGWAJI UMENIELEWA KWANINI MIMI SIMPENDI YESU!

Sasa kama wewe uanmpenda, LZM UFUATE YALE MAAMRISHO YAKE, Na ndio maana kesi za UBAKAJI HAZIISHI MAKANISANI!!



 



YESU ANARUDIA MANENO YAKE, MSIPOMWAMINI YESU KUWA NI MWANA WA MUNGU MTAKUFA KWELI!


mimi napenda kumfuata mungu yesu aliyeamua kujiua kwa ajili yangu!


NADHANI BWANA MCHUNGWAJI UMENIELEWA KWANINI MIMI SIMPENDI YESU!

Sasa kama wewe uanmpenda, LZM UFUATE YALE MAAMRISHO YAKE, Na ndio maana kesi za UBAKAJI HAZIISHI MAKANISANI!!



[/QUOTE]
LISILOWEZEKANA KWA ALLAH WA QURAN KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA!
(Mathayo 19:26)-Kwa Mungu yote yanawezekana.

1.MUNGU ANAWEZA KUMFANYA KIWETE KUSIMAMA NA KUTEMBEA KWA ALLAH HILO HALIWEZEKANI!
(Matendo 3;1-11)-Kwa Jina la Yesu Kristo simama uende. Akaondoka upesi akasimama akaanza kwenda.
(Matendo 14:8)-Akasema kwa Sauti kuu, Simama kwa miguu yako sawasawa. Akasimama upesi akaenda.

2.MUNGU ANAWEZA KUFUFUA WAFU, KWA ALLAH HILO HALIWEZEKANI!
(Matendo 9:36-43)-Petro akapiga magoti akaomba, kisha akaelekea yule maiti, akanena, Thabita, ondoka. Naye akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua akaketi.

3.MUNGU ANAO UWEZO WA KUUTOA UHAI WAKE NA KUUTWA TENA.HILO HALIWEZEKANI KWA ALLAH!
(Yohana 10:15-18)-Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo. Hakuna mtu aniondoleaye ,bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwa tena.
(KWANZA ALLAH ANAOGOPA KIFO.KAMA ANAOGOPA KUFA HAWEZI KUFUFUA WAFU! )

KUTHIBITISHA HAYO HATA UNGESOMA QURAN NA VITABU VYA HADITH TANGU MWANZO MPAKA MWISHO HUWEZI KUKUTA MAHALI AMBAPO ALLAH ANAWEZA HAYO!

SASA TUMFUATE YUPI MUNGU AU ALLAH WA QURAN??

MTUME PAULO (KIBOKO CHA WAISLAMU ) ANASEMA:
(Waefeso 5:17)-Kwa sababu hiyo msiwe WAJINGA, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya BWANA.

TAFAKARI!!
 


LISILOWEZEKANA KWA ALLAH WA QURAN KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA!
(Mathayo 19:26)-Kwa Mungu yote yanawezekana.

1.MUNGU ANAWEZA KUMFANYA KIWETE KUSIMAMA NA KUTEMBEA KWA ALLAH HILO HALIWEZEKANI!
(Matendo 3;1-11)-Kwa Jina la Yesu Kristo simama uende. Akaondoka upesi akasimama akaanza kwenda.
(Matendo 14:8)-Akasema kwa Sauti kuu, Simama kwa miguu yako sawasawa. Akasimama upesi akaenda.

2.MUNGU ANAWEZA KUFUFUA WAFU, KWA ALLAH HILO HALIWEZEKANI!
(Matendo 9:36-43)-Petro akapiga magoti akaomba, kisha akaelekea yule maiti, akanena, Thabita, ondoka. Naye akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua akaketi.

3.MUNGU ANAO UWEZO WA KUUTOA UHAI WAKE NA KUUTWA TENA.HILO HALIWEZEKANI KWA ALLAH!
(Yohana 10:15-18)-Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo. Hakuna mtu aniondoleaye ,bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwa tena.
(KWANZA ALLAH ANAOGOPA KIFO.KAMA ANAOGOPA KUFA HAWEZI KUFUFUA WAFU! )

KUTHIBITISHA HAYO HATA UNGESOMA QURAN NA VITABU VYA HADITH TANGU MWANZO MPAKA MWISHO HUWEZI KUKUTA MAHALI AMBAPO ALLAH ANAWEZA HAYO!

SASA TUMFUATE YUPI MUNGU AU ALLAH WA QURAN??

MTUME PAULO (KIBOKO CHA WAISLAMU ) ANASEMA:
(Waefeso 5:17)-Kwa sababu hiyo msiwe WAJINGA, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya BWANA.

TAFAKARI!!
[/QUOTE]


KWANI MI NAKATAA KUWA PAULO NI KIBOKO??

HATA ANGEKUWA TEMBO AU FISI, Hio hainitishi mimi!

Kinachonitisha ni MAANDIKO KAMA HAYA

Waamuzi 21 : 7-25

21.7 Tufanyeje sisi ili tuwapatie wake hao waliosalia, kwa kuwa tumeapa kwa Bwana ya kwamba hatutawapa binti zetu ili wawaoe?
21.8 Basi wakasema, Ni ipi katika kabila za Israeli ambayo haikufika mbele ya Bwana huko Mispa? Na tazama, hakuja mmoja maragoni aliyetoka Yabeshi gileadi aufikilie huo mkutano.
21.9 Kwa maana hapo watu walipohesabiwa, hakuwapo hata mtu mmoja katika wenyeji wa Yabesh-gileadi.
21.10 Basi mkutano walipeleka huko watu kumi na mbili elfu wa hao waliokuwa mashujaa sana, kisha wakawaamuru, wakisema, Endeni mkawapige wenyeji wa Yabesh-gileadi kwa makali ya upanga, na hata wanawake na watoto wadogo.

21.11 Na jambo mtakalotenda ni hili; mtamwangamiza kila mume kabisa, na kila mwanamke ambaye amelala na mume.

21.12 Nao wakapata katika wenyeji wa Yabesh-gileadi wanawali mia nne, ambao hawajamjua mtu mume kwa kulala naye; basi wakawaleta maragoni huko Shilo, ulioko katika nchi ya Kanaani.



MKUU WANAWALI 400!! wadogo ambao hawajaguswa?? Duhhh! sasa kama hii sio ruhusa ya kubaka! NI NINI??

SASA HAPA MKUU WANGU NA UJANJA WANGU NIKISOMA HAYA MAANDIKO, INABIDI NIOGOPE SANA KUWA KARIBU NA KIBOKO PAULO!
 
Wanabodi,

Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.

Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.

Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.

Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!.

Pasco.
huwa inanikera sana yanapoitwa mapinduzi matukufu Mungu atusamehe
 
Back
Top Bottom